Vurugu Kutoka kwa Uvumi wa “Mei 28” (Sehemu ya 2)

Baada ya hilo, sikujihadhari tena dhidi ya ndugu wa Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wakati wowote nilipokuwa na muda ningesoma neno la Mungu na kutazama video, filamu, video za muziki, nyimbo, filamu za muziki na maonyesho mengine yaliyotolewa na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Kadiri nilivyozidi kutazama haya yote, ndivyo nilivyozidi kuhisi kupewa, na ndivyo nilivyozidi kuhisi raha. Nilidhibitisha kutoka kwa moyo wangu kwamba Mwenyezi Mungu ndiye kuonekana kwa Bwana Yesu.

Vurugu Kutoka kwa Uvumi wa “Mei 28” (Sehemu ya 1)

Lakini nilihisi udhibitisho moyoni mwangu kwa njia ambayo ndugu kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu waliishi, jinsi walivyoishi haikuwa ya uongo, ilikuwa onyesho la maisha yao baada ya kutenda maneno ya Mungu. Kwa sababu walizifuata nyayo za Mwanakondoo, walikuwa na kazi ya Roho Mtakatifu, na walikuwa na neno la Mungu kama uzima wao, waliweza kuishi kwa kudhihirisha mfano wa Mkristo wa kweli anayeleta utukufu kwa Mungu na kumshuhudia Mungu.

Mwamko wa Roho Aliyedanganywa

Na Yuanzhi, Brazili Nilizaliwa katika mji mdogo huko Kaskazini mwa China na mnamo 2010, nikafuata jamaa kwenda Brazili. Hapa nchini Brazili, nilijuana…

Ufanisi

Na Fangfang, China Sote katika familia yangu tunamwamini Bwana Yesu, na wakati nilikuwa muumini wa kawaida tu katika kanisa letu, babangu alikuwa mmoj…

Kuwa katika Hatari Kubwa

Nilikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho zaidi ya mwezi mmoja uliopita. Mchungaji na wazee hawajaacha kunisumbua na kuwashawishi wazazi wan…

Kupotea na Kurejea Tena

Na Xieli, Marekani Nilikuja Marekani kufanya kazi kwa bidii kama vile ningeweza kutafuta maisha yenye furaha na hali ya juu ya maisha. Ingawa nilitese…

Dhoruba ya Talaka Yazimwa

Na Lu Xi, Japani Mnamo mwaka wa 2015, rafiki yangu alinishawishi nianze kumwamini Mwenyezi Mungu. Baada ya kupokea kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za m…

Kupenya Ukungu ili Kuona Mwanga

Haya kweli ni mapambano ya kiroho. Mungu huonyesha ukweli katika siku za mwisho ili kuwaokoa binadamu, lakini Shetani hufikiria kila njia inayowezekana kutumia shinikizo na mateso kupitia mwanangu wa kiume, binti mkwe wangu, na serikali ya CCP kunizuia kuamini katika Mungu na kumfuata Mungu. Anaogopa kwamba nitaikubali kazi ya Mungu katika siku za mwisho na kuuelewa ukweli. Kwa hiyo nitatofautisha asili yake mbovu, ya kutisha, ya kishetani, ya pepo na kumsaliti na kumtelekeza, na kupata wokovu wa Mungu.

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp