Habari zaidi
Filamu ya Kikristo ya Muziki
Mungu asema: "Ni viumbe wangapi wanaoishi na kuzaana katika ulimwengu mpana, wakifuata sheria ya maisha tena na tena, wakifuata sheria isiyobadilika. … Atawafanya wanadamu wafahamu uwepo Wake, waamini katika ukuu Wake, watazame matendo Yake, na warudi katika ufalme Wake."
Kote katika ulimwengu mkubwa mno, sayari zote ya mbingu husogea kwa usahihi katika mizunguko yazo zenyewe. Chini ya mbingu, milima, mito, na maziwa vyote vina mipaka yavyo, na viumbe vyote huishi na kuzaana wakati wa misimu yote minne kulingana na sheria za maisha…. Hili lote limepangwa vizuri sana—je, kuna Mwenye Uwezo Mmoja anayepanga na kutawala yote haya? Tangu tuje katika ulimwengu huu tukilia tumeanza kutekeleza majukumu tofauti katika maisha. Sisi husogea kutoka kuzaliwa mpaka uzee mpaka kuugua hadi kifo, sisi husogea kati ya furaha na huzuni…. Wanadamu kwa kweli hutoka wapi, na kwa kweli tutaenda wapi? Ni nani huitawala jaala yetu? Kutoka nyakati za kale hadi siku za kisasa, mataifa makubwa yameibuka, nasaba za wafalme zimekuja na kwenda, na nchi na watu wamesitawi na kuangamia katika mikondo ya historia…. Kama tu sheria za asili, sheria za maendeleo ya wanadamu zina mafumbo yasiyo na kikomo. Ungependa kujua majibu kuyahusu? Filamu iitwayo Yule Ambaye Hushikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu itakuongoza kufikia kiini cha jambo hili, ili kufichua mafumbo yote haya!
Ni Nani Wanadamu na Vitu Vyote Humtegemea kwa Kusalia Kwao?
Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia na vitu vyote. Dunia mpya ya kusisimua ilizaliwa. Kila kitu kilichoumbwa na Mungu kilikuwa kamili na kizuri. Kilionyesha hekima, uzuri na uweza Wake. Mungu aliwaumba Adamu na Hawa kwa mfano Wake mwenyewe kwa mikono Yake mwenyewe, na kupumua uhai Wake ndani yao. Yehova Mungu aliwaweka katika Bustani ya Edeni …
0118
Nishati kubwa, yenye giza hudhibiti kutawanyika kwa jamii ya nyota, ikitawala vyote ambavyo vimo katika ulimwengu …
0118