Unataka kujifunza kuhusu kazi mpya ya Mungu na kufuata nyayo za Mwanakondoo?
Hapa unaweza kupata maneno ya Mungu kwa enzi mpya. Hapa, Mungu anafunua siri za ukweli …
Pata kujua kazi ya Mungu katika siku za mwisho na uingie kwenye njia ya kupata wokovu na kuingia katika ufalme wa mbinguni.
Kila Mkristo ana hadithi ya kusisimua kuhusu kuchaguliwa na Mungu.
Kila Mkristo ana hadithi ya kusisimua kuhusu kuchaguliwa na Mungu.
Pata kuijua kazi ya Mungu na ushuhudie upendo na wokovu Wake kupitia kila aina ya matukio na ushuhuda wa Kikristo.
Tunakabiliwa na mazingira ya aina zote, watu, matukio, na mambo katika maisha yetu.
Katika imani yetu, sisi hukabiliwa na aina zote za mchafuko na matatizo.
Imani na Maisha ni uteuzi uliopangwa kwa makini wa insha za Wakristo juu ya matukio na ushuhuda wao, zikikusaidia uelewe mapenzi ya Mungu katika mazingira mbalimbali, na kupata njia sahihi ya utendaji.
Maneno ya Mungu ni taa mbele yetu, mwanga njiani ukiangaza njia yetu kwenda mbele. Endelea sawa na nyayo za Mungu, sikiliza matamshi ya Kristo wa siku za mwisho, elewa siri zote za ukweli, furahia unyunyiziaji na riziki ya maji yaliyo hai ya uzima!
Sikiliza nyimbo mpya za ufalme wakati wowote na mahali popote. Jitulize mbele ya Mungu na uuache moyo wako umkaribie Yeye zaidi.
Mwendo wa maisha unaposhika kasi, tuna muda kidogo zaidi na zaidi wa kumkaribia Mungu. Kwa nini usipunguze kasi kidogo, ukituliza moyo wako mbele ya Mungu, na kutafakari juu ya maneno Yake ili kuanzisha uhusiano sahihi na Yeye?