Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Mfululizo wa Video za Kwaya Zaidi
Musical Documentary | “Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu” (Swahili Subtitles)
Kote katika ulimwengu mkubwa mno, sayari zote ya mbingu husogea kwa usahihi katika mizunguko yazo zenyewe. Chini ya mbingu, milima, mito, na maziwa vy…
Jinsi ya Kutambua Sauti ya Mungu
Swali 1
Maswali 2
Ushuhuda wa Kumrudia Mungu Zaidi
Sasa Naelewa Uhusiano Kati ya Biblia na Mungu
Mwenyezi Mungu anasema, “Kwa miaka mingi, imani ya watu ya kitamaduni (hiyo ya Ukristo, moja ya dini kuu tatu za dunia) imekuwa ni kusoma Biblia; kuji…
Kurudi Uzimani Kutoka Ukingoni mwa Mauti
Na Yang Mei, China Mnamo 2007 niliugua ghafla ugonjwa sugu wa figo. Waliposikia habari hizi, mama yangu na shemeji yangu ambao ni Wakristo, na marafi…
Nimepata Njia ya Kuingia Katika Ufalme wa Mbinguni
Mwenyezi Mungu anasema, “Yesu Alipokuja katika ulimwengu wa mwanadamu, Alileta Enzi ya Neema na Akatamatisha Enzi ya Sheria. Wakati wa siku za mwisho,…
Bahati na Bahati Mbaya
Baada ya kupitia maumivu na mateso ya tukio hili la ugonjwa, nilitafakari juu ya jinsi nilivyokuwa chini ya udhibiti wa mtazamo wa maisha ya Shetani usio sahihi wa “kujitahidi kuwa bora zaidi kuliko kila mtu mwingine.” Muda huu wote, nilijitahidi kujitokeza miongoni wa wenzangu na kuishi maisha yenye wingi ili wengine wangenipenda na kunitamani. Hata hivyo, sijawahi kufikiri nini nitapata badala yake yalikuwa maumivu na huzuni. Sikupata hata amani na furaha kidogo.
Mungu Amefanya Kikundi cha Washindi Nchini China
ZaidiKuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakat…
Buriani, Mtu Mwenye Kujipendekeza
Na Li Fei, Uhispania Kwa mintarafu ya watu ambao hujipendekeza, nilidhani kuwa walikua wazuri sana kabla ya kumwamini Mungu. Walikuwa na tabia za upo…
Nimejifunza Jinsi ya Kuwatendea Watu Vizuri
Na Siyuan, Ufaransa Miaka michache iliyopita, nilikuwa nikifanya wajibu wa kiongozi wa kanisa. Kulikuwa na ndugu mmoja kanisani aliyekuwa na jina la …
Ukweli Umenionyesha Njia
Na Shizai, Japani Mwenyezi Mungu anasema, “Kumtumikia Mungu si kazi rahisi. Wale ambao tabia yao potovu haibadiliki hawawezi kamwe kumhudumia Mungu. …