Ushuhuda wa Matukio ya Maisha
ZaidiUbora Duni wa Tabia Sio Kisingizio
Na Zhuiqiu, China Hapo zamani, kila wakati nilipokabiliwa na shida fulani wakati wa kutekeleza wajibu wangu, au nilifanya kazi yangu vibaya, nilidhan…
Asili ya Upendo wa Mungu Ni Nini?
Siqiu Mji wa Suihua, Mkoa wa Heilongjiang Wakati wowote ninapoona kifungu kinachofuata cha neno la Mungu, “Ikiwa daima umekuwa mwaminifu sana, uki…
Ndio Nimeanza Tu Kutembea Njia Sahihi ya Uzima
Shi Han Mkoa wa Hebei Nilizaliwa kwa familia maskini ya wakulima. Nimekuwa mwenye busara tangu utotoni, ikimaanisha sijawahi kupigana na watoto wen…
Hatimaye Naelewa Maana ya Kutimiza Wajibu Wangu
Na Xunqiu, Korea ya Kusini Mwenyezi Mungu anasema, “Mwanadamu kufanya wajibu wake ni, kwa uhakika, kutimiza yote yaliyo ya asili yake, yaani, yale ya…
Ushuhuda wa Mateso
ZaidiKutumikia Wakati wa Upeo wa Ujana Gerezani
Na Chenxi, China Kila mtu husema kuwa upeo wa ujana wetu ndio wakati bora sana na safi zaidi wa maisha. Labda kwa wengi, miaka hiyo imejaa kumbukumb…
Mungu Ni Nguvu Yangu Katika Maisha
Na Xiaohe, Mkoa wa Henan Katika kile kilichohisi kama kufumba na kufumbua, nimemfuata Mwenyezi Mungu kwa miaka 14. Katika miaka hii yote, nimepitia m…
Wakati wa mateso Ya Kikatili
Na Chen Hui, China Nililelewa katika familia ya kawaida nchini China. Baba yangu alikuwa katika jeshi na kwa sababu nilikuwa nimeongozwa na kuathiriw…
Wimbo wa Maisha Katikati ya Uharibifu
Na Gao Jing, Mkoa wa Henan Mnamo mwaka wa 1999, nilibahatika kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho. Kupitia kusoma maneno ya Mungu, nilif…
Ushuhuda wa Kumrudia Mungu
ZaidiVurugu Kutoka kwa Uvumi wa “Mei 28” (Sehemu ya 2)
Baada ya hilo, sikujihadhari tena dhidi ya ndugu wa Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wakati wowote nilipokuwa na muda ningesoma neno la Mungu na kutazama video, filamu, video za muziki, nyimbo, filamu za muziki na maonyesho mengine yaliyotolewa na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Kadiri nilivyozidi kutazama haya yote, ndivyo nilivyozidi kuhisi kupewa, na ndivyo nilivyozidi kuhisi raha. Nilidhibitisha kutoka kwa moyo wangu kwamba Mwenyezi Mungu ndiye kuonekana kwa Bwana Yesu.
Vurugu Kutoka kwa Uvumi wa “Mei 28” (Sehemu ya 1)
Lakini nilihisi udhibitisho moyoni mwangu kwa njia ambayo ndugu kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu waliishi, jinsi walivyoishi haikuwa ya uongo, ilikuwa onyesho la maisha yao baada ya kutenda maneno ya Mungu. Kwa sababu walizifuata nyayo za Mwanakondoo, walikuwa na kazi ya Roho Mtakatifu, na walikuwa na neno la Mungu kama uzima wao, waliweza kuishi kwa kudhihirisha mfano wa Mkristo wa kweli anayeleta utukufu kwa Mungu na kumshuhudia Mungu.
Siri ya Majina ya Mungu
“Ingawa Yehova, Yesu, na Masihi yote yanawakilisha Roho Wangu, majina haya yanaashiria tu enzi tofauti katika mpango Wangu wa usimamizi, nayo haya…
Sasa Naelewa Uhusiano Kati ya Biblia na Mungu
Mwenyezi Mungu anasema, “Kwa miaka mingi, imani ya watu ya kitamaduni (hiyo ya Ukristo, moja ya dini kuu tatu za dunia) imekuwa ni kusoma Biblia; kuji…
Kitabu cha Mwongozo wa Imani
Zaidi- Kutatua Mkanganyiko wa Kiroho
- Ibada za Kila Siku
- Imani na Maisha