Mungu aliwakomboa wanadamu katika Enzi ya Neema, hivyo kwa nini bado anahitaji kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho?
Aya za Biblia za Kurejelea: “Fuata amani na watu wote, na utakatifu, bila huu hakuna mwanadamu atakayemwona Bwana” (Waebrania 12:14). “Na iwapo mtu …