Kurejea Kutoka Ukingoni
Na Zhao Guangming, China Mwanzoni mwa miaka ya 1980, nilikuwa katika miaka yangu 30 nami nilikuwa nikifanyia kazi kampuni ya ujenzi. Nilijifikira kuw…
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Na Zhao Guangming, China Mwanzoni mwa miaka ya 1980, nilikuwa katika miaka yangu 30 nami nilikuwa nikifanyia kazi kampuni ya ujenzi. Nilijifikira kuw…
Na Guozi, Marekani Nilizaliwa katika familia ya Kikristo, na nilipokuwa na umri wa mwaka mmoja, mama yangu alikubali kazi mpya ya Bwana Yesu aliyerud…
Na Dujuan, Japani Nilizaliwa katika familia fukara katika kijiji cha mashambani. Tangu niwe mtoto, niliishi maisha magumu na nilidharauliwa na weng…
Katika miaka ya hivi karibuni, katika upeo wa mbingu “mwezi wa damu” umeonekana mara kwa mara. Majanga mbalimbali kama vile magonjwa ya mlipuko, tetemeko ya ardhi, na njaa zinazidi kuwa mbaya. Unabii wa Biblia kuhusu siku za mwisho tayari umetimia, na siku kuu na ya kutisha ya Yehova iko karibu. Majanga makubwa sasa iko juu yetu, kwa hivyo tunapaswaje kukaribisha kurudi kwa Bwana? Nakala hii ina jibu.
“ufufuo wa mfu” hurejelea wakati ambapo Yesu anarudi. Hii pia ni hali ambayo sisi kama Wakristo tunatarajia kuona. Sasa, “ufufuo wa mfu” unamaanisha nini hasa? Je, “Mfu” na “mtu aliye hai” humaanisha nini? Kwa maelfu ya miaka, hakuna mtu hata mmoja aliyeweza kujibu swali hili kwa dhahiri. Ni Mungu pekee anayeweza kufichua mafumbo haya.
Nilitambua kwamba kama tunataka kuletwa mbele ya Mungu, cha umuhimu ni kwamba ni lazima tutafute maneno ambayo Roho Mtakatifu anasema kwa makanisa kwa kuwa tayari kupokea mawazo mapya. Ni lazima tuwe wanawali wenye busara na kutafuta kwa vitendo na kuchunguza sauti ya Bwana. Kwa njia hii, tutaweza kukaribisha kurudi kwa Bwana na kuletwa mbele ya Mungu!
Nyakati mbili ambapo Mungu amekuwa mwili ili kutembea duniani na kutekeleza kazi ya kumwokoa mwanadamu, Amekumbana na upinzani mkubwa sana, lawama na …
Mafarisayo walieneza uongo na kumkashifu na kumkufuru Mungu, na sote tunaweza kukisia mwisho waliokumbana nao, lakini, je, wale watu wa Kiyahudi waliochukulia uongo na kashfa hizo kuwa ukweli—je, mwisho wao haukuwa wa huzuni hivyo? Walipitia maangamizi yasiyo ya kifani ya taifa na watu wa Kiyahudi walitawanyika pande zote. Hawakuwa na nyumbani pa kurudia kwa miaka 2,000. Je, haya siyo matokeo ya kuchukulia uongo wa Mafarisayo kuwa ukweli na kumpinga Mungu?
Misiba inatokea mmoja baada ya mwingine, na mapenzi ya Mungu ni sisi tuje mbele Zake kutubu. Anamtaka kila mtu atubu na hamtaki mtu yeyote aangamie.
Na Baoda, Australia Ulimwengu uko katika hali ya machafuko, kila aina ya maafa yakiwakumba wanadamu. Watu wengi wanajiuliza: “Je, Bwana amerudi tayar…
Na Su Xing, Uchina Maradhi yameendelea kuenea katika miezi ya karibuni na idadi ya waliothibitika kuugua na vifo inazidi kupanda. Maafa yamejaa dunia…
Imani ya Kweli Katika Mwana ni Nini? Je, Tunaweza Kupata Uzima wa Milele kwa Kumwamini Bwana Yesu?
Na Shen Qingqing, Korea Kusini Watu wengi hutazamia kuokolewa na Bwana wakati wa kuwasili Kwake na kunyakuliwa hadi katika ufalme wa mbinguni. …
Miaka elfu mbili iliyopita, Bwana Yesu alituahidi: “Tazama, Naja upesi” (Ufunuo 22:12). Sasa, kila aina ya ishara za kurudi Kwake zimeonekana, na ndugu wengi wamekuwa na maono kwamba siku ya Bwana iko karibu. Je, Bwana tayari Amerudi? Je, tunaweza kufanya nini ili kumkaribisha Bwana? Hebu tujadili hili sasa kwa kuchunguza unabii ulio katika Biblia.
Hapa kuna onyo la Mungu. Ishara za siku za Nuhu zimeonekana katika siku za mwisho. Kwa hivyo, tunapaswa kutafutaje kuonekana kwa Mungu ili kuingia katika safina ya siku za mwisho? Soma makala haya ili upate njia.
Je, maana ya kweli ya “Lakini juu ya hiyo siku na saa hiyo hakuna mtu anayejua” katika Mathayo 24:36 ni nini? Je, Bwana amerudi kweli? Je, tunawezaje kukaribisha kuja kwa Bwana?
Siku, maangamizi ya ulimwengu yanapokua makali zaidi, unabii wa kuja kwa Bwana umetimia. Bwana Yesu alisema, “Tubuni: kwa kuwa ufalme wa mbinguni u karibu” (Mathayo 4:17). Toba ya kweli ni nini hasa? Na tunawezaje kutimiza toba ya kweli? Makala haya yatakuambia majibu.
Wakristo wengi mara nyingi hukiri na kusali mbele za Bwana, lakini wanaendelea kutenda dhambi baadaye, na kama matokeo, wanahisi kuchanganyikiwa. Kwa hivyo Wakristo wanapaswa kuepuka dhambi vipi hasa? Maandiko haya yanakuambia njia ya kujiweka huru kutokana na dhambi.