Kitabu cha Mwongozo wa Imani

Makala 24

Kurejea Kutoka Ukingoni

Na Zhao Guangming, China Mwanzoni mwa miaka ya 1980, nilikuwa katika miaka yangu 30 nami nilikuwa nikifanyia kazi kampuni ya ujenzi. Nilijifikira kuw…

Mungu Yuko Kando Yangu

Na Guozi, Marekani Nilizaliwa katika familia ya Kikristo, na nilipokuwa na umri wa mwaka mmoja, mama yangu alikubali kazi mpya ya Bwana Yesu aliyerud…

Bahati na Bahati Mbaya

Na Dujuan, Japani Nilizaliwa katika familia fukara katika kijiji cha mashambani. Tangu niwe mtoto, niliishi maisha magumu na nilidharauliwa na weng…

Ishara za Nyakati za Mwisho: Mwezi Mkuu wa Damu Kutokea tena mnamo 2021

Katika miaka ya hivi karibuni, katika upeo wa mbingu “mwezi wa damu” umeonekana mara kwa mara. Majanga mbalimbali kama vile magonjwa ya mlipuko, tetemeko ya ardhi, na njaa zinazidi kuwa mbaya. Unabii wa Biblia kuhusu siku za mwisho tayari umetimia, na siku kuu na ya kutisha ya Yehova iko karibu. Majanga makubwa sasa iko juu yetu, kwa hivyo tunapaswaje kukaribisha kurudi kwa Bwana? Nakala hii ina jibu.

Siri ya “Ufufuo wa Mfu”

“ufufuo wa mfu” hurejelea wakati ambapo Yesu anarudi. Hii pia ni hali ambayo sisi kama Wakristo tunatarajia kuona. Sasa, “ufufuo wa mfu” unamaanisha nini hasa? Je, “Mfu” na “mtu aliye hai” humaanisha nini? Kwa maelfu ya miaka, hakuna mtu hata mmoja aliyeweza kujibu swali hili kwa dhahiri. Ni Mungu pekee anayeweza kufichua mafumbo haya.

Ukweli Kuhusu Kunyakuliwa

Li Huan Kama tu ndugu Wakristo wengine wengi, natamani sana kuja kwa mara ya pili kwa Bwana Yesu. Tunafuata fungu lifuatalo kutoka kwa Biblia: “Baada…

Kusadiki Uvumi Kunamaanisha Kupoteza Wokovu wa Mungu wa Siku za Mwisho

Mafarisayo walieneza uongo na kumkashifu na kumkufuru Mungu, na sote tunaweza kukisia mwisho waliokumbana nao, lakini, je, wale watu wa Kiyahudi waliochukulia uongo na kashfa hizo kuwa ukweli—je, mwisho wao haukuwa wa huzuni hivyo? Walipitia maangamizi yasiyo ya kifani ya taifa na watu wa Kiyahudi walitawanyika pande zote. Hawakuwa na nyumbani pa kurudia kwa miaka 2,000. Je, haya siyo matokeo ya kuchukulia uongo wa Mafarisayo kuwa ukweli na kumpinga Mungu?

Ishara 6 za kurudi kwa Bwana Yesu Zimeonekana

Miaka elfu mbili iliyopita, Bwana Yesu alituahidi: “Tazama, Naja upesi” (Ufunuo 22:12). Sasa, kila aina ya ishara za kurudi Kwake zimeonekana, na ndugu wengi wamekuwa na maono kwamba siku ya Bwana iko karibu. Je, Bwana tayari Amerudi? Je, tunaweza kufanya nini ili kumkaribisha Bwana? Hebu tujadili hili sasa kwa kuchunguza unabii ulio katika Biblia.

Je, Maafa Yatakapofika, Utakuwa Umetimiza Toba ya Kweli?

Siku, maangamizi ya ulimwengu yanapokua makali zaidi, unabii wa kuja kwa Bwana umetimia. Bwana Yesu alisema, “Tubuni: kwa kuwa ufalme wa mbinguni u karibu” (Mathayo 4:17). Toba ya kweli ni nini hasa? Na tunawezaje kutimiza toba ya kweli? Makala haya yatakuambia majibu.

Wakristo Wanawezaje Kuacha Kutenda Dhambi? Jibu Liko Hapa!

Wakristo wengi mara nyingi hukiri na kusali mbele za Bwana, lakini wanaendelea kutenda dhambi baadaye, na kama matokeo, wanahisi kuchanganyikiwa. Kwa hivyo Wakristo wanapaswa kuepuka dhambi vipi hasa? Maandiko haya yanakuambia njia ya kujiweka huru kutokana na dhambi.

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp