Kupata Mwili kwa Mungu Hukumu ya Siku za Mwisho Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Kuhusiana na Majina ya Mungu Enzi ya Neema na Enzi ya Ufalme Wokovu na Wokovu Kamili Njia ya Uzima wa Milele Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu Kumjua Kristo Kumjua Mungu Biblia na Mungu Kuijua Sauti ya Mungu Maana ya Kweli ya Unyakuo Mungu Ameshuka Nchini China Kanisa la Mungu na Dini Kuwatambua Mafarisayo Njia ya Kweli Imekuwa Ikiteswa Daima Ufafanuzi wa Utatu Ukweli na Mafundisho ya Dini Kufanya Mapenzi ya Mungu
  • Aina 20 za Ukweli wa Injili
    • Kupata Mwili kwa Mungu
    • Hukumu ya Siku za Mwisho
    • Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
    • Kuhusiana na Majina ya Mungu
    • Enzi ya Neema na Enzi ya Ufalme
    • Wokovu na Wokovu Kamili
    • Njia ya Uzima wa Milele
    • Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu
    • Kumjua Kristo
    • Kumjua Mungu
    • Biblia na Mungu
    • Kuijua Sauti ya Mungu
    • Maana ya Kweli ya Unyakuo
    • Mungu Ameshuka Nchini China
    • Kanisa la Mungu na Dini
    • Kuwatambua Mafarisayo
    • Njia ya Kweli Imekuwa Ikiteswa Daima
    • Ufafanuzi wa Utatu
    • Ukweli na Mafundisho ya Dini
    • Kufanya Mapenzi ya Mungu
Maana ya Kweli ya Unyakuo

Unyakuo ni lazima utegemezwe maneno ya Mungu na sio dhana na mawazo ya mwanadamu

“Kunyakuliwa” si kuchukuliwa kutoka mahali pa chini kwenda mahali pa juu jinsi watu wanavyofikiria. Hili ni kosa kubwa sana. Kunyakuliwa kunarejelea kujaaliwa Kwangu na kuchagua. Kunawalenga wale wote ambao Nimewaamua kabla na kuwachagua. Wale ambao wamepata hadhi ya mzaliwa wa kwanza, hadhi ya wana, au watu, ni wale wote ambao wamenyakuliwa. Hili halilingani kabisa na mawazo ya watu. Wale walio na sehemu katika nyumba Yangu katika siku zijazo wote ni watu ambao wamenyakuliwa mbele Yangu. Hii ni kweli kabisa, haibadiliki kamwe, na haiwezi kukataliwa na mtu yeyote. Hili ni jibu la mapigo dhidi ya Shetani. Mtu yeyote Niliyemwamua kabla atanyakuliwa mbele Yangu.

Unyakuo wa kweli ni nini?

Sisi ni kundi la watu wa kawaida tu, waliomilikiwa na tabia potovu ya kishetani, wale waliochaguliwa na Mungu kabla ya enzi, na wale maskini ambao Mungu ameinua kutoka jaani. Kuna wakati tulipomkataa na kumshutumu Mungu, lakini sasa tumeshindwa na Yeye. Kutoka kwa Mungu tumepokea uzima, njia ya uzima wa milele. Licha ya mahali ambapo tunaweza kuwa duniani, licha ya mateso na dhiki tunazovumilia, hatuwezi kuwa mbali na wokovu wa Mwenyezi Mungu. Kwa kuwa Yeye ndiye Muumba wetu, na ukombozi wetu pekee!

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp