Wimbo wa Dini | Mpenzi Wangu, Tafadhali Nisubiri (Music Video)

21/05/2017

Juu ya miti, nikiukwea mwezi wa amani. Kama mpendwa wangu, wa haki na mzuri.

Ee mpendwa wangu, Uko wapi? Sasa mimi nina machozi. Je, Wanisikia nikilia?

Wewe Ndiwe hunipa upendo. Wewe Ndiwe Unayenitunza.

Wewe Ndiwe unayeniwaza daima, Wewe Ndiwe unayeyatunza maisha yangu.

Mwezi, nyuma ya upande wa pili wa anga. Usimfanye mpendwa wangu asubiri muda mrefu sana.

Tafadhali mwambie Yeye ninamkosa sana.

Usisahau kuubeba pamoja nawe upendo wangu, pamoja nawe upendo wangu.

Bata bukini pori katika jozi, wapuruka mbali sana.

Je, watarudi na neno kutoka kwa mpendwa wangu?

O tafadhali, tafadhali niazime mbawa yako. Naweza kupuruka kurudi kwa mji wangu vuguvugu.

Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni!

Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo.

Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure.

Jinsi ninavyopenda ninaweza kuwa mzima karibuni,

kuwa huru kutoka maisha machungu, ya kutangatanga.

O mpendwa wangu, tafadhali nisubiri. Nitaruka mbali na anasa za dunia hii.

Nitalipa wasiwasi wa mpenzi wangu. Nataka kumwambia: Usiwe na huzuni!

Nitakupa jibu Unalofurahishwa nalo.

Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure.

Hivyo juhudi Ulizolipa hazitakuwa za bure.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp