Tenzi ya Rohoni | Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu (Music Video)

03/07/2018

Wakati hamumwelewi Mungu na hamjui asili Yake,

mioyo yenu haiwezi kamwe kufunguka, kufunguka kwa Mungu.

Mara utakapomwelewa Mungu wako,

utaelewa kile kilicho moyoni Mwake,

na kufurahia kile kilicho ndani Yake

kwa imani na usikivu wako wote.

Unapofurahia kile kilicho ndani ya moyo wa Mungu, kidogo kidogo,

siku baada ya siku,

unapofurahia kile kilicho ndani ya moyo wa Mungu,

moyo wako utakuwa wazi Kwake.

Moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli,

moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli,

utaona madharau,

utaiona aibu ya maombi yako ya kupita kiasi na yenye ubinafsi.

Moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli,

moyo wako unapokuwa wazi kwa kweli,

utaona dunia isiyo na mwisho moyoni mwa Mungu,

na kuwa katika ulimwengu wa maajabu yasiyosimuliwa.

Katika ulimwengu huu hakuna uongo,

hakuna udanganyifu, hakuna giza na hakuna uovu.

Kuna ukweli na uaminifu tu;

haki na ukarimu pekee.

Yeye ni upendo, Yeye anajali,

ana huruma isiyo na mwisho.

Maishani mwako, unahisi furaha,

Unapoufungua moyo wako kwa Mungu.

Hekima na nguvu Zake vinajaza ulimwengu huu,

na vile vile mamlaka na upendo Wake.

Unaweza kuona kile Mungu alicho na Alicho nacho,

kinachomletea furaha,

kinachomletea matatizo, kinachomletea huzuni na hasira,

vyote viko wazi kwa kila mmoja kuona,

unapoufungua moyo wako kwa Mungu

na kumwalika aingie ndani.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp