Wimbo wa Injili | Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

25/06/2020

Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,

uliyogawanywa katika hatua tatu, kila moja inaitwa enzi.

Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema,

na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho.

Ingawa kazi ya Mungu ni tofauti katika kila moja,

yote inalingana na kile ambacho binadamu wanahitaji,

ama hasa inalingana na ujanja ambao Shetani anatumia,

anapopigana na Yeye.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

Ni ili kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua upotovu mbaya wa Shetani,

kufunza viumbe kutofautisha mema na mabaya,

na kumjua Mtawala wa vitu vyote ni Mungu Mwenyewe.

Kuona wazi kuwa Shetani ni adui wa mwanadamu,

kuwa ni yule mwovu, mhalifu,

ili mwanadamu aweze kutofautisha mema na maovu, ukweli na uongo,

utakatifu na uchafu, na makuu kutoka kwa ya chini.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

Kumfanya binadamu pumbavu kuwa na ushuhuda Kwake:

Sio Mungu ndiye Alileta upotovu wa mwanadamu,

na ni Mungu Mwenyewe pekee, Bwana wa uumbaji,

Anayeweza kuweka vitu vya kufurahia na kumletea mwanadamu wokovu.

Hii ni ili waweze kujua kuwa Mungu ni Mtawala wa vitu vyote,

kuwa Shetani ni uumbaji Wake, ambaye baadae alichagua kumgeuka.

Mpango wa Mungu wa miaka 6,000 wa usimamizi

umegawanywa katika hatua tatu,

ili yafuatayo yaweze kufikiwa:

kuruhusu viumbe Wake kuwa mashahidi Wake,

kujua mapenzi Yake, na kuona kuwa ukweli ni Yeye.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp