Kupata Mwili kwa Mungu Hukumu ya Siku za Mwisho Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Kuhusiana na Majina ya Mungu Enzi ya Neema na Enzi ya Ufalme Wokovu na Wokovu Kamili Njia ya Uzima wa Milele Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu Kumjua Kristo Kumjua Mungu Biblia na Mungu Kuijua Sauti ya Mungu Maana ya Kweli ya Unyakuo Mungu Ameshuka Nchini China Kanisa la Mungu na Dini Kuwatambua Mafarisayo Njia ya Kweli Imekuwa Ikiteswa Daima Ufafanuzi wa Utatu Ukweli na Mafundisho ya Dini Kufanya Mapenzi ya Mungu
  • Aina 20 za Ukweli wa Injili
    • Kupata Mwili kwa Mungu
    • Hukumu ya Siku za Mwisho
    • Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
    • Kuhusiana na Majina ya Mungu
    • Enzi ya Neema na Enzi ya Ufalme
    • Wokovu na Wokovu Kamili
    • Njia ya Uzima wa Milele
    • Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu
    • Kumjua Kristo
    • Kumjua Mungu
    • Biblia na Mungu
    • Kuijua Sauti ya Mungu
    • Maana ya Kweli ya Unyakuo
    • Mungu Ameshuka Nchini China
    • Kanisa la Mungu na Dini
    • Kuwatambua Mafarisayo
    • Njia ya Kweli Imekuwa Ikiteswa Daima
    • Ufafanuzi wa Utatu
    • Ukweli na Mafundisho ya Dini
    • Kufanya Mapenzi ya Mungu
Kuijua Sauti ya Mungu

Mtu anapaswaje kuitambua sauti ya Mungu? Je, mtu anawezaje kuthibitisha kwamba Mwenyezi Mungu kweli ni Bwana Yesu aliyerudi?

Maneno ya Mungu mwenye mwili yanaanzisha enzi mpya, yanaongoza wanadamu wote, yanafichua mafumbo, na kumwonyesha mwanadamu mwelekeo mbele katika enzi mpya. Nuru anayoipata mwanadamu ni utendaji au elimu rahisi. Haiwezi kuelekeza binadamu wote kuingia enzi mpya au kufichua fumbo la Mungu Mwenyewe. Mungu, hata hivyo, ni Mungu, na mwanadamu ni mwanadamu. Mungu yuko na dutu ya Mungu, na mwanadamu yuko na dutu ya mwanadamu.

Kuna tofauti ipi kati ya maneno ya watu wanaotumiwa na Mungu kote katika enzi zote ambayo yanakubaliana na ukweli na maneno ya Mungu?

Ukweli ndio halisi zaidi katika methali zote za maisha, na ni mkuu kabisa kuliko methali hizo miongoni mwa wanadamu wote. Kwa sababu ni matakwa ambayo Mungu anayataka kwa mwanadamu, na ni kazi ambayo inafanywa na Mungu mwenyewe, hivyo inaitwa methali ya maisha. Sio methali iliyoundwa kutoka katika kitu fulani, wala si nukuu maarufu kutoka kwa mtu maarufu; badala yake, ni matamshi kwa mwanadamu kutoka kwa Bwana wa mbingu na nchi na vitu vyote, na sio maneno fulani yaliyotolewa na mwanadamu, bali ni maisha asili ya Mungu. Na hivyo unaitwa ni methali ya juu kabisa kupita methali zote za maisha.

Kuna tofauti ipi kati ya maneno ya Mungu yaliyowasilishwa na manabii katika Enzi ya Sheria na maneno yaliyoonyeshwa na Mungu mwenye mwili?

Katika hatua hii ya mwisho ya kazi, matokeo yanapatikana kupitia kwa neno. Kupitia kwa neno, mwanadamu anaelewa mafumbo mengi na kazi ya Mungu katika vizazi vilivyopita; kupitia kwa neno, mwanadamu anapewa nuru na Roho Mtakatifu; kupitia kwa neno, mwanadamu anapata kuelewa mafumbo ambayo hayajawahi kuelezwa na vizazi vilivyopita, na pia kazi za manabii na, mitume wa enzi zilizopita, na kanuni ambazo walitumia kufanya kazi; kupitia kwa neno, mwanadamu anatambua tabia ya Mungu Mwenyewe, na pia uasi na pingamizi ya mwanadamu, na kujua dutu yao.

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp