Wimbo wa Injili | Utukufu wa Mungu Wang’aa Kutoka Mashariki

25/05/2020

Ni wakatitu Mungu apitapo katika mbingu na nchi mpya tu ndipo

Anachukua sehemu nyingine ya utukufu Wake

na kuufichua kwanza katika nchi ya Kanaani,

Akisababisha nuru iiangazie dunia nzima,

iliyozama katika giza totoro la usiku,

ili kuruhusu dunia nzima ije katika nuru hiyo.

Acha watu wote duniani kote waje wapate nguvu kutoka kwa uwezo wa nuru,

wakiruhusu utukufu wa Mungu uongezeke

na kuonekana upya kwa kila taifa.

Acha binadamu wote watambue kwamba Mungu alikuja zamani katika ulimwengu wa wanadamu

na Alileta utukufu Wake kutoka Israeli hadi Mashariki zamani;

kwani utukufu Wake unang’aa kutoka Mashariki,

ambako uliletwa kutoka Enzi ya Neema hadi leo.

Lakini Mungu aliondoka tokea Israeli

na kutoka huko ndipo Aliwasili Mashariki.

Wakati nuru ya Mashariki inapong’aa polepole tu ndipo

giza kote duniani litaanza kugeuka na kuwa nuru,

na hapo tu ndipo mwanadamu atatambua kwamba

Mungu alishaondoka Israeli zamani

na Ameanza kuinuka upya huko Mashariki.

Kwa kuwa Aliwahi kushuka huko Israeli

na baadaye Akaondoka kutoka huko,

Mungu hawezi tena kuzaliwa Israeli kwa mara nyingine,

kwa kuwa kazi Yake inauongoza ulimwengu mzima

na, zaidi ya hilo, umeme unamulika moja kwa moja toka Mashariki hadi Magharibi.

Kwa sababu hii Mungu Ameshuka Mashariki na kuwaletea watu wa Mashariki Kanaani.

Angependa kuwaleta watu kutoka dunia nzima waje katika nchi ya Kanaani,

na kwa hiyo Anaendelea kutoa matamko katika nchi ya Kanaani

ili kuudhibiti ulimwengu mzima.

Kwa wakati huu, hakuna nuru katika dunia nzima isipokuwa katika Kanaani,

na watu wote wamehatarishwa na njaa na baridi.

Angependa kuwaleta watu kutoka dunia nzima waje katika nchi ya Kanaani,

na kwa hiyo Anaendelea kutoa matamko katika nchi ya Kanaani

ili kuudhibiti ulimwengu mzima.

Kwa wakati huu, hakuna nuru katika dunia nzima isipokuwa katika Kanaani,

na watu wote wamehatarishwa na njaa na baridi,

na watu wote wamehatarishwa na njaa na baridi.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp