Wimbo wa Kusifu | Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara | Uso kwa uso na Mungu (Music Video)

21/05/2018

Chukua fursa unapokuwa na wakati, keti kimya mbele ya Mungu.

Soma neno Lake, jua ukweli Wake, rekebisha makosa yaliyo ndani yako.

Majaribu huja, yakabili; ijue nia ya Mungu na utakuwa na nguvu.

Mwambie ni vitu gani unavyokosa, shiriki ukweli Wake kila mara.

Roho yako ina furaha unapomwabudu Yeye.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu, usipinge tena.

Kujali kwako mwili, kunamuumiza Yeye sana.

Soma neno Lake, elewa ukweli Wake.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu. Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu.

Hivyo ishi kama mwanadamu mtakatifu!

Haijalishi ni jaribio lipi ama hukumu inayokuja, tutafanya kazi kumfurahisha Yeye.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake.

Ingawa tunakosa, tunapaswa kutafuta kumpenda Mungu.

Mradi tunampenda Yeye, bila shaka tutapokea sifa Yake.

Lazima tufuatilie ukweli na kumshuhudia Mungu.

Huu ni wajibu wetu ambao lazima tuufanye.

Roho yako ina furaha unapomwabudu Yeye.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu, usipinge tena.

Kujali kwako mwili, kunamuumiza Yeye sana.

Soma neno Lake, elewa ukweli Wake.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu. Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu.

Hivyo ishi kama mwanadamu mtakatifu!

Haijalishi ni jaribio lipi ama hukumu inayokuja, tutafanya kazi kumfurahisha Yeye.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake.

Hivyo ishi kama mwanadamu mtakatifu!

Haijalishi ni jaribio lipi ama hukumu inayokuja, tutafanya kazi kumfurahisha Yeye.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake,

na uishi ukweli Wake, na uishi ukweli Wake.

Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp