Wimbo wa Kusifu | Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

08/02/2020

Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote

kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake.

Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.

Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote vije chini ya amri Yake.

Vitu angani na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake.

Vyote lazima vitii, bila uchaguzi wowote.

Hii ni amri ya Mungu na mamlaka Yake.

Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote

kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake.

Kila kitu kinaamuriwa na Mungu. Anaamuru na kuvipanga vitu vyote,

kila kuainishwa kulingana na aina na kwa mapenzi ya Mungu kupewa nafasi yake.

Vitu angani na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake.

Vyote lazima vitii, bila uchaguzi wowote. Hii ni amri ya Mungu na mamlaka Yake.

Haijalishi kitu ni kikubwa vipi, hakitaweza kamwe kumzidi Mungu.

Vyote vinamtumikia Mungu-hakuna binadamu

wanaothubutu kupinga au kufanya madai kwa Mungu.

Mwanadamu, kiumbe wa Mungu, lazima pia aendeleze wajibu wake.

Awe bwana au mtawala wa vitu vyote, hata hadhi yake iwe ya juu vipi,

mtu mdogo chini ya utawala wa Mungu atabaki kuwa.

Mwanadamu asiye na maana, kiumbe wa Mungu, kamwe hatakuwa juu ya Mungu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp