Wimbo wa Dini | Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

17/05/2019

I

Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,

kama wafuasi wa Kristo wa dhati,

ni wajibu wetu, ni jukumu letu

kutoa akili zetu na miili yetu

kwa kutimiza agizo la Mungu.

Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,

na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Kwa maana asili yetu, ilitoka kwa Mungu,

na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

II

Ikiwa akili na miili yetu haiko kwa ajili ya

agizo la Mungu au njia ya mwanadamu ya haki,

roho zetu hazitastahili waliokufa kishahidi

kwa ajili ya agizo la Mungu,

zaidi haistahili kwa Mungu

anayetupa kila kitu.

Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,

na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,

na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,

na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Kwa maana asili yetu, ilitoka kwa Mungu,

na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp