Wimbo wa Dini | Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu (Music Video)

13/11/2018

Mpendwa Mwenyezi Mungu, ni Wewe ndiye Unayenipenda,

uliniinua kutoka kwa rundo la kinyesi hadi kwa mazoezi ya ufalme.

Maneno Yako yamenitakasa,

yakanifanya nianze kuishi maisha ya furaha.

Moyoni mwangu nahisi, kwa kweli, ni upendo Wako mkuu.

Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!

Maneno Yako yote ni ukweli.

Unastahili upendo wa binadamu.

Ee Mungu! Ukipuuza uasi wangu wa zamani,

Unanijali na kufanya kazi kuniokoa.

Unaniongoza katika njia ya kweli,

Ukitazama kila wakati katika upande wangu,

natarajia tu nitakua na kuwa mtu mpya.

Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!

Nitafuatilia kukupenda Wewe, mwaminifu kwa wajibu ili kukufurahisha Wewe.

Ee Mwenyezi Mungu, maneno Yako yamenitakasa.

Neema Yako ya wokovu sitasahu kamwe.

Nitakupenda Wewe maisha yangu yote, nikiuridhisha moyo Wako.

Uliacha mengi sana ili kuniokoa,

na sitakukosea Wewe kamwe.

Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!

Nitakupenda Wewe maisha yangu yote, mwaminifu katika wajibu, katika wajibu.

Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!

Nitakupenda Wewe maisha yangu yote,

mwaminifu katika wajibu, katika wajibu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp