Ngoma ya Kikristo | Kama Nisingeokolewa na Mungu

07/06/2017

Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu,

nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio.

Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani,

kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje.

Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo,

wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.

Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,

nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.

Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini.

Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.

Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.

Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.

Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo,

wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.

Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,

nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.

Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini.

Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.

Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.

Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp