Wimbo wa Dini | Umuhumi wa Maombi

12/01/2020

Maombi ni njia moja ya mwanadamu kushirikiana na Mungu,

kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.

Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

Hivyo wale wasioomba ni waliokufa bila roho.

Hawawezi kuguswa na Mungu, hawawezi kufuata kazi ya Mungu.

Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,

wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.

Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,

wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.

Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp