Wimbo wa Kusifu | Imba Sifa za Mwenyezi Mungu (Music Video)

21/03/2020

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Wewe ndiye Mungu mmoja wa kweli ambaye ameonekana katika mwili,

Mwokozi ambaye amekuja kwa utukufu

Wewe ndiye Mungu mmoja wa kweli ambaye amefanya kazi daima

kwa ajili ya wokovu wa binadamu.

Umekuwa ukiwaongoza binadamu hadi leo.

Ili kuwasafisha na kuwaokoa kabisa,

Umepata mwili mara mbili!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Unaonyesha ukweli, ukitunyunyizia kwa maneno Yako,

ili tuweze kuishi katika uwepo Wako.

Umemwaga ukweli wa uzima ulimwenguni,

ili Uweze, Uweze kutuokoa!

Baada ya kutenda maneno Yako,

tunakua katika maisha yetu, tunaelewa ukweli.

Maneno Yako huhukumu na kutakasa upotovu wetu,

na tunakuwa wanadamu wapya!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Wewe unapendeza sana, Unastahili sifa ya milele.

Tunafurahia sana upendo Wako, tunataka tu kuulipa.

Mwenyezi Mungu, tunakupenda na kuimba sifa Zako daima!

Tabia Yako ya haki inapata nyimbo na dansi zetu za sifa!

Acha tuonyeshe upendo na shukrani zetu Kwako!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Umerejesha maisha ya kawaida ya binadamu,

ukituleta katika hatima nzuri.

Umemshinda Shetani

na kutuokoa kikamilifu na kupata utukufu wote!

Tukiisifu hekima Yako, tutakukuza daima, tutakutukuza!

Tukisifu uweza Wako, tutakushuhudia!

Tutacheza na kuimba katika sifa Zako!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

Mwenyezi Mungu, Mungu mwenye kupendeka,

tunaimba sifa, tunaimba sifa Zako milele!

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp