Wimbo wa Injili | Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu Ni Kumwokoa Binadamu

10/05/2020

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.

I

Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,

Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.

Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,

kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.

II

Pengine leo huhisi upendo na uzima Mungu anaokupa,

mradi tu huondoki katika upande Wake,

wala kuachilia mapenzi yako ya kutafuta ukweli,

hakika siku moja utaiona tabasamu ya Mungu.

Sababu kusudi la Mungu katika kazi Yake ya usimamizi

ni kumpokonya mwanadamu kutoka milki ya shetani

na sio kuwaacha waliopotoshwa na Shetani,

na kupinga mapenzi Yake.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp