Jinsi ya Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni
Je! Unajua ni nani anayeweza kuingia katika ufalme wa Mungu? Tunawezaje kuingia katika ufalme Wake? Soma sehemu hii kuyapata majibu.
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Jambo la muhimu kukaribisha kurudi kwa Bwana ni kuweza kusikia sauti ya Mungu. Basi tunawezaje kusikia sauti yake na kumkaribisha Bwana? Unaweza kupata njia hapa.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Je! Unajua ni nani anayeweza kuingia katika ufalme wa Mungu? Tunawezaje kuingia katika ufalme Wake? Soma sehemu hii kuyapata majibu.
Uzima wa milele na ufalme wa mbinguni ni yale ambayo Mungu ametuahidi. Kwa hivyo tunawezaje kuipata njia ya uzima wa milele na kufurahia ahadi ya Mungu? Unaweza kuipata njia hapa.
Kama waumini, dhambi zetu zimesamehewa, kwa nini tunaendelea kutenda dhambi? Je! Unajua jinsi ya kuacha kutenda dhambi, kutakaswa, na kuingia katika ufalme? Sehemu hii ina majibu unayohitaji.
Bwana Yesu amekuja tena katika mwili, naye ni Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho. Je! Unajua ni kwanini Mungu anakuwa mwili tena katika siku za mwisho kumwokoa mwanadamu? Bonyeza kujifunza zaidi.