Jinsi ya Kunyakuliwa Kabla ya Dhiki
Bwana tayari amekuja kwa siri kabla ya majanga ili kufanya washindaji. Tunawezaje kunyakuliwa kabla ya majanga? Tafuta njia hapa.
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Uzima wa milele na ufalme wa mbinguni ni yale ambayo Mungu ametuahidi. Kwa hivyo tunawezaje kuipata njia ya uzima wa milele na kufurahia ahadi ya Mungu? Unaweza kuipata njia hapa.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Bwana tayari amekuja kwa siri kabla ya majanga ili kufanya washindaji. Tunawezaje kunyakuliwa kabla ya majanga? Tafuta njia hapa.
Unabii wa Biblia wa kuja kwa mara ya pili kwa Bwana Yesu umetimia. Je, umemkaribisha Bwana? Je, unatamani kunyakuliwa kabla ya maafa?
Bwana Yesu amekuja tena katika mwili, naye ni Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho. Je! Unajua ni kwanini Mungu anakuwa mwili tena katika siku za mwisho kumwokoa mwanadamu? Bonyeza kujifunza zaidi.
Bwana Yesu anarudi aje? Hili ni swali muhimu kwa wote wanaotamani kuonekana kwake. Soma sehemu hii ili ujifunze kuhusu njia mbili za Bwana...