Mwokozi Amerudi Tayari Juu
Unabii wa Biblia wa kuja kwa mara ya pili kwa Bwana Yesu umetimia. Je, umemkaribisha Bwana? Je, unatamani kunyakuliwa kabla ya maafa?
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Uzima wa milele na ufalme wa mbinguni ni yale ambayo Mungu ametuahidi. Kwa hivyo tunawezaje kuipata njia ya uzima wa milele na kufurahia ahadi ya Mungu? Unaweza kuipata njia hapa.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Unabii wa Biblia wa kuja kwa mara ya pili kwa Bwana Yesu umetimia. Je, umemkaribisha Bwana? Je, unatamani kunyakuliwa kabla ya maafa?
Ingawa dhambi zetu zimesamehewa kwa sababu ya imani yetu katika Bwana, tunatenda dhambi kila wakati—Je! Tunaweza kweli kuingia katika ufalme wa mbinguni? Je! Tunawezaje kufunguliwa kutoka kwa dhambi na kutakaswa? Angalia ukurasa huu ili upate njia ya kusafishwa na kuokolewa kikamilifu.
Maelezo ya ndani ya kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu katika Enzi ya Sheria, Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme imefichuliwa hapa ili...
Bwana Yesu anarudi aje? Hili ni swali muhimu kwa wote wanaotamani kuonekana kwake. Soma sehemu hii ili ujifunze kuhusu njia mbili za Bwana...