Wimbo wa Injili | Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

24/06/2020

Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu

wanaomwabudu na kumtii Yeye.

Ingawa wamepotoshwa na Shetani, hawamwiti baba tena.

Wanajua ubaya wa Shetani, hivyo wanamkataa.

Wanakuja mbele ya Mungu, wanakubali adabu na hukumu.

Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu.

Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani.

Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena.

Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu.

Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.

Katika usimamizi wa Mungu wa wakati huu,

mwanadamu ni lengo la upotovu wa Shetani,

yeye ni kasidi cha wokovu wa Mungu

na kile ambacho Mungu na Shetani wanapigania.

Wakati wa kazi ya Mungu,

Anampata tena mwanadamu hatua kwa hatua kutoka Shetani.

Kisha mwanadamu anakuwa karibu zaidi na Mungu …

Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu.

Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani.

Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena.

Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu.

Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.

Wanajua kile kilicho kibaya, na kile ambacho ni kitakatifu.

Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani.

Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi wala kumwabudu tena.

Kwa sababu hawa ni watu ambao kwa kweli wametwaliwa na Mungu.

Hii ndiyo sababu Mungu anamsimamia mwanadamu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp