Wimbo wa Kusifu | Watu wa Mungu wa Mataifa Yote Huonyesha Hisia Zao Kama Mtu Mmoja | Praise and Thank God's Love (Music Video)

23/02/2019

Uangalie ufalme wa Mungu, ambako Mungu anatawala juu ya yote.

Kutoka wakati uumbaji ulipoanza mpaka siku ya sasa,

wana wa Mungu waliongozwa wakipitia taabu.

Katika milima na mabonde walienda. Lakini sasa katika nuru Yake wanakaa.

Nani asiyelia juu ya udhalimu wa jana?

Ni nani asiyelia machozi kwa ajili ya maisha magumu leo?

Ni nani asiyechukua nafasi hii kutoa mioyo yao kwa Mungu?

Nani hataki kutoa sauti kwa shauku na uzoefu wake?

Nani asiyelia juu ya udhalimu wa jana?

Ni nani asiyelia machozi kwa ajili ya maisha magumu leo?

Ni nani asiyechukua nafasi hii kutoa mioyo yao kwa Mungu?

Nani hataki kutoa sauti kwa shauku na uzoefu wake?

Watu wanatoa vyao vilivyo bora kwa Mungu. Baadhi yao hujuta makosa yao.

Wengine hujichukia kwa ajili ya ufuatiliaji wao wa jana.

Wote wamejitambua, wameona matendo ya Shetani, maajabu ya Mungu.

Ndani ya mioyo yao huishi Mungu, kwa maana kazi Yake imekamilika.

Nani asiyelia juu ya udhalimu wa jana?

Ni nani asiyelia machozi kwa ajili ya maisha magumu leo?

Ni nani asiyechukua nafasi hii kutoa mioyo yao kwa Mungu?

Nani hataki kutoa sauti kwa shauku na uzoefu wake?

Nani asiyelia juu ya udhalimu wa jana?

Ni nani asiyelia machozi kwa ajili ya maisha magumu leo?

Ni nani asiyechukua nafasi hii kutoa mioyo yao kwa Mungu?

Nani hataki kutoa sauti kwa shauku na uzoefu wake?

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp