Maneno ya Mungu ya Kila Siku: Kuingia Katika Uzima | Dondoo 452

02/11/2020

Katika siku zijazo, ikiwa wewe unabarikiwa au kulaaniwa kutaamuliwa kulingana na matendo unayotekeleza leo. Ikiwa unafaa kukamilishwa na Mungu itakuwa ni sasa hivi katika enzi hii; hakutakuwa na fursa nyingine katika siku zijazo. Mungu kwa kweli Anataka kukukamilisha sasa, na hii sio njia ya kuzungumza. Katika siku zijazo, bila kujali majaribio gani yanayokufikia, matukio gani yanayofanyika, au maafa gani yanayokupata, Mungu anataka kukukamilisha—huu ni ukweli wa hakika na usio na shaka. Je, jambo hili inaweza kuonekana kutoka wapi? Kutokana na ukweli kwamba neno la Mungu katika enzi zote na vizazi halijawahi kufikia kiwango kikubwa kama lilivyo leo—limeingia katika ulimwengu wa juu, na kazi ya Roho Mtakatifu miongoni mwa wanadamu leo ni ya kipekee. Ni wachache sana kutoka vizazi vilivyopita wameonja hili. Hata katika enzi ya Yesu hapakuwa na ufunuo wa leo; viwango vikubwa vimefikiwa katika maneno yaliyosemwa kwenu, mambo mnayoyaelewa, na mambo mnayoyapitia. Hamuondoki katikati ya majaribu na kuadibiwa, na hii ni inatosha kuthibitisha kwamba kazi ya Mungu imefikia uzuri ambao haujawahi kutokea. Hiki si kitu ambacho mwanadamu anaweza kufanya na sio kitu ambacho mwanadamu anadumisha, lakini badala yake ni kazi ya Mungu Mwenyewe. Kwa hivyo, kutokana na ukweli mwingi wa kazi ya Mungu inaweza kuonekana kwamba Mungu anataka kumkamilisha mwanadamu, na Yeye hakika Anaweza kukufanya uwe mkamilifu. Ikiwa mnaweza kuona jambo hili, ikiwa unaweza kupata ugunduzi huu mpya, basi hutangoja kuja kwa pili kwa Yesu lakini badala yake, utamruhusu Mungu akufanye mkamilifu katika enzi ya sasa. Hivyo, kila mmoja wenu anapaswa kufanya kila linalowezekana na kujitahidi sana ili aweze kukamilishwa na Mungu.

Siku hizi hupaswi kuzingatia mambo hasi. Lazima kwanza uweke kando na kutojali kila kitu ambacho kinaweza kukufanya usihisi hasi. Unaposhughulikia mambo lazima udumishe moyo wa kutafuta na kupapasa papasa, na lazima udumishe moyo wa utii kwa Mungu. Wakati wowote mnapogundua udhaifu wowote ndani yenu, lakini hamko chini ya udhibiti wake na mnatenda kazi ambayo mnapaswa kutenda, hii ni hatua ya hakika kwenda mbele. Kwa mfano: Ndugu wana mawazo ya kidini, lakini unaweza kuomba, na unaweza kutii, kula na kunywa neno la Mungu, na kuimba nyimbo…. Kwa neno moja, chochote unachoweza kufanya, kazi yoyote unayoweza kutenda, jitolee kikamilifu kwa nguvu zote unazoweza kuzitumia. Usisubiri kwa kukaa tu. Kuweza kutimiza wajibu wako kwa ridhaa ya Mungu ni hatua ya kwanza. Kisha unapoweza kuuelewa ukweli na kuingia katika ukweli wa neno la Mungu, utakuwa umekamilishwa na Mungu.

Kimetoholewa kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

Only Fulfilling Your Duty Can Satisfy God

I

Don’t pay attention to negative things. Put aside what brings you down, leave all that behind. In all things and at all times, maintain a heart of seeking God, a heart of submission to Him. Being able to perform your duty to the satisfaction of God, that is the first step, that is the first step. When you’re able to understand the truth, enter the reality of God’s words, then you’ll be perfect, you will be perfect.

II

If you find you have weakness, but you’re not controlled, and still perform your duty, it’s a positive act. The elderly have religious notions, but you can pray and read God’s words, sing hymns and submit yourselves. Being able to perform your duty to the satisfaction of God, that is the first step, that is the first step. When you’re able to understand the truth, enter the reality of God’s words, then you’ll be perfect, you will be perfect.

III

No matter what you can do, what function you can perform, put your all into it, put your all into it. Use all the strength that you have, do not wait passively. Give it all to God, give it all to God. No matter what you can do, what function you can perform, put your all into it, put your all into it. Use all the strength that you have, do not wait passively. Give it all to God, give it all to God. Being able to perform your duty to the satisfaction of God, that is the first step, that is the first step. When you’re able to understand the truth, enter the reality of God’s words, then you’ll be perfect, you will be perfect, then you’ll be perfect, you will be perfect.

from Follow the Lamb and Sing New Songs

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp