Christian Crosstalk | Kukabili Maradhi ya Kuenea Pote

01/10/2020

Maradhi haya yanapokuwa yakienea ulimwenguni kote, watu wengi wanahisi kuwa maafa makubwa yametufikia. Watu wanahisi hofu kuu na hawajui wafanye nini isipokuwa kujitenga na kukaa nyumbani. Hawajui jinsi ya kujilinda dhidi ya maradhi haya ya mlipuko, au jinsi ya kukwepa maafa makubwa. Bwana Yesu alitabiri zamani sana: “Taifa litaibuka dhidi ya taifa, na ufalme dhidi ya ufalme: Na matetemeko makuu ya ardhi yatakuwa katika mahali mbalimbali, na njaa, na ndwele” (Luka 21:10–11). Maradhi haya ya kuenea pote na maafa mengine yoyote yatokeayo hutokea kwa idhini ya Mungu. Yeye huyatumia kuwaonya wanadamu, kutuambia kwamba lazima tutubu bila kukawia. Lakini toba ya kweli ni nini? Waumini wengi sana hufikiri kwamba kuomba na kukiri zaidi kwa Bwana ni toba ya kweli, na kwamba basi Mungu atawaokoa kutokana na maafa makubwa. Lakini, je, hivyo ndivyo ilivyo kweli? Tazama malumbano haya chekeshi, Kukabili Maradhi ya Kuenea Pote, ili ujue jinsi tunavyopaswa kutubu kwa Mungu kwa kweli tunapokabiliwa na maafa haya.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp