Wimbo wa Sifa | Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu (Muziki wa Akapela)

24/02/2018

Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu

na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.

Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.

Mimi niko bila uhasi wowote,

sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.

Ninauunga mkono wajibu wangu

kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.

Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini,

nina moyo wa uaminifu.

Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu

ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.

Ninatenda ukweli, namtii Mungu,

na kujaribu kuwa mtu mwaminifu.

Mimi ni wazi na mnyoofu,

bila uongo, nikiishi kwenye mwanga.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.

Watu wote wampendao Mungu,

njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.

Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.

Ee watu wenye furaha,

njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu

na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.

Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.

Mimi niko bila uhasi wowote,

sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.

Ninauunga mkono wajibu wangu

kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.

Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini,

nina moyo wa uaminifu.

Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu

ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.

Ninatenda ukweli, namtii Mungu,

na kujaribu kuwa mtu mwaminifu.

Mimi ni wazi na mnyoofu,

bila uongo, nikiishi kwenye mwanga.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.

Watu wote wampendao Mungu,

njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.

Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.

Ee watu wenye furaha,

njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.

Watu wote wampendao Mungu,

njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.

Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.

Ee watu wenye furaha,

njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.

Watu wote wampendao Mungu,

njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.

Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.

Ee watu wenye furaha,

njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.

Watu wote wampendao Mungu,

njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.

Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.

Ee watu wenye furaha,

njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.

Watu wote wampendao Mungu,

njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.

Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.

Ee watu wenye furaha,

njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp