Filamu za Kikristo | Ni Wale Tu Wanaofuata Nyayo za Mungu Ndio Wanaweza Kufikia Njia ya Uzima wa Milele (Dondoo Teule)

08/01/2018

Watu wengi ambao wana imani katika Bwana wanaamini: Kwa kuwa Biblia ni rekodi ya neno la Mungu na ushuhuda wa mwanadamu na inaweza kutoa ujenzi mkuu wa maadili kwa mwanadamu, kusoma Biblia kunapaswa kutupa uzima wa milele. Lakini Bwana Yesu alisema, “Tafuteni katika maandiko; kwa kuwa ndani yake mnafikiri kuwa mnao uhai wa milele: na nashuhudiwa na hayo. Nanyi hamkuji kwangu, ili mpate uhai” (Yohana 5:39-40). Kwa nini Bwana Yesu alisema hakuna uzima wa milele katika Biblia? Tunapaswa kufanya nini ili tuweze kupata njia ya uzima wa milele?

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp