Wimbo wa Kikristo | Upendo wa Kweli wa Mungu (Music Video)

13/12/2017

Nasimama mbele ya Mungu wangu tena leo.

Moyo wangu una mengi ya kusema

ninapoona uso Wake wa kupendeza.

Nimeacha siku zangu za zamani za kuzurura nyuma yangu.

Neno Lake linanijaza na raha

na furaha kutoka kwa neema Yake.

Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia

na kunistawisha ili nikuwe.

Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena.

Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako.

Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua.

Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda!

Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!

Nataka kuwa na shauku ya neno Lako

katika siku zangu zote.

Nakutazamia, Mungu wangu, kwa mwanga katika kila njia.

Unawanyunyizia na kuwastawisha watu Wako kwa upendo.

Unatuongoza mbali na ushawishi wa ibilisi wa kupotosha.

Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia

na kunistawisha ili nikuwe.

Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena.

Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako.

Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua.

Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda!

Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!

Ndugu! Tuinukeni na tusifu!

Tuutunze wakati huu tunaoshirikiana pamoja.

Tukiwa huru kutokana na minyororo ya mizigo ya mwili,

hebu tuonyeshe upendo wetu kwa Mungu

katika matendo halisi,

tutimize wajibu wetu kwa moyo na nuvu.

Tunakupenda, Mwenyezi Mungu! Hatutawahi kukuacha!

Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia

na kunistawisha ili nikuwe.

Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena.

Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako.

Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua.

Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo huninyunyizia

na kunistawisha ili nikuwe.

Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena.

Mungu, tunakuimbia leo kwa sababu ya Baraka Zako.

Tunatoa shukrani Kwako leo kwa sababu Umetuinua.

Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda!

Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!

Kwa sababu Umetuinua.

Mwenyezi Mungu wa kweli ambaye Ametupenda!

Tunakupenda! Ee Mungu! Kweli tunakupenda!

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp