Je, Umeisikia Sauti ya Mungu?
Jambo la muhimu kukaribisha kurudi kwa Bwana ni kuweza kusikia sauti ya Mungu. Basi tunawezaje kusikia sauti yake na kumkaribisha Bwana? Unaweza kupata njia hapa.
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Ingawa dhambi zetu zimesamehewa kwa sababu ya imani yetu katika Bwana, tunatenda dhambi kila wakati—Je! Tunaweza kweli kuingia katika ufalme wa mbinguni? Je! Tunawezaje kufunguliwa kutoka kwa dhambi na kutakaswa? Angalia ukurasa huu ili upate njia ya kusafishwa na kuokolewa kikamilifu.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Jambo la muhimu kukaribisha kurudi kwa Bwana ni kuweza kusikia sauti ya Mungu. Basi tunawezaje kusikia sauti yake na kumkaribisha Bwana? Unaweza kupata njia hapa.
Bwana Yesu amekuja tena katika mwili, naye ni Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho. Je! Unajua ni kwanini Mungu anakuwa mwili tena katika siku za mwisho kumwokoa mwanadamu? Bonyeza kujifunza zaidi.
Je! Unajua ni nani anayeweza kuingia katika ufalme wa Mungu? Tunawezaje kuingia katika ufalme Wake? Soma sehemu hii kuyapata majibu.
Bwana tayari amekuja kwa siri kabla ya majanga ili kufanya washindaji. Tunawezaje kunyakuliwa kabla ya majanga? Tafuta njia hapa.