Jinsi ya Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni
Je! Unajua ni nani anayeweza kuingia katika ufalme wa Mungu? Tunawezaje kuingia katika ufalme Wake? Soma sehemu hii kuyapata majibu.
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Maelezo ya ndani ya kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu katika Enzi ya Sheria, Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme imefichuliwa hapa ili kukusaidia kujua kazi ya Mungu.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Je! Unajua ni nani anayeweza kuingia katika ufalme wa Mungu? Tunawezaje kuingia katika ufalme Wake? Soma sehemu hii kuyapata majibu.
Jambo la muhimu kukaribisha kurudi kwa Bwana ni kuweza kusikia sauti ya Mungu. Basi tunawezaje kusikia sauti yake na kumkaribisha Bwana? Unaweza kupata njia hapa.
Uzima wa milele na ufalme wa mbinguni ni yale ambayo Mungu ametuahidi. Kwa hivyo tunawezaje kuipata njia ya uzima wa milele na kufurahia ahadi ya Mungu? Unaweza kuipata njia hapa.
Kuokolewa ni nini? Kupata wokovu kamili ni nini? Ingawa dhambi za mwanadamu zimesamehewa, yeye bado hutenda dhambi mara kwa mara na...