Je, Kweli Umeshapata Njia ya Uzima wa Milele?
Uzima wa milele na ufalme wa mbinguni ni yale ambayo Mungu ametuahidi. Kwa hivyo tunawezaje kuipata njia ya uzima wa milele na kufurahia ahadi ya Mungu? Unaweza kuipata njia hapa.
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Maelezo ya ndani ya kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu katika Enzi ya Sheria, Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme imefichuliwa hapa ili kukusaidia kujua kazi ya Mungu.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Uzima wa milele na ufalme wa mbinguni ni yale ambayo Mungu ametuahidi. Kwa hivyo tunawezaje kuipata njia ya uzima wa milele na kufurahia ahadi ya Mungu? Unaweza kuipata njia hapa.
Bwana Yesu amekuja tena katika mwili, naye ni Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho. Je! Unajua ni kwanini Mungu anakuwa mwili tena katika siku za mwisho kumwokoa mwanadamu? Bonyeza kujifunza zaidi.
Jambo la muhimu kukaribisha kurudi kwa Bwana ni kuweza kusikia sauti ya Mungu. Basi tunawezaje kusikia sauti yake na kumkaribisha Bwana? Unaweza kupata njia hapa.
Je! Unajua ni nani anayeweza kuingia katika ufalme wa Mungu? Tunawezaje kuingia katika ufalme Wake? Soma sehemu hii kuyapata majibu.