Wimbo wa Kusifu | Kristo wa Siku za Mwisho Ameleta Enzi ya Ufalme (Music Video)

02/09/2019

Yesu alipokuja katika ulimwengu wa mwanadamu,

Akatamatisha Enzi ya Sheria,

Alileta Enzi ya Neema.

Mungu mara nyingine akakuwa mwili katika siku za mwisho.

Akitamatisha Enzi ya Neema,

Alileta Enzi ya Ufalme.

Wote wanaokubali kupata mwili kwa Mungu kwa mara ya pili

wataongozwa katika Enzi ya Ufalme na kupokea uongozi Wake.

Baada ya mwanadamu kusamehewa dhambi zake,

Mungu alirudi mwilini kumwongoza.

Atamwongoza mwanadamu kuingia katika enzi mpya.

Ameanza kazi ya hukumu

ili kumleta mwanadamu katika ulimwengu wa juu zaidi.

Wote wanaotii utawala Wake

watavuna ukweli wa juu na baraka kuu.

Ee wataishi katika mwangaza!

Na kupata njia, ukweli, na uzima!

Yesu alifanya kazi nyingi kati ya wanadamu.

Ukombozi wa wanadamu wote ndio kazi aliyomaliza pekee.

Aligeuka sadaka ya mwanadamu ya dhambi,

lakini hakumwondolea mwanadamu

tabia yake yote potovu, upotovu wote wa mwanadamu.

Kumwokoa mwanadamu kutoka kwa Shetani kulimaanisha

Yesu alilazimika kuchukua dhambi za mwanadamu,

lakini kazi kubwa zaidi ya Mungu ilihitaji

kumwondolea mwanadamu upotovu wa Shetani.

Baada ya mwanadamu kusamehewa dhambi zake,

Mungu alirudi mwilini kumwongoza.

Atamwongoza mwanadamu kuingia katika enzi mpya.

Ameanza kazi ya hukumu

ili kumleta mwanadamu katika ulimwengu wa juu zaidi.

Wote wanaotii utawala Wake

watavuna ukweli wa juu na baraka kuu.

Ee wataishi katika mwangaza!

Na kupata njia, ukweli, na uzima!

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp