Wimbo wa Kusifu | Kristo wa Siku za Mwisho Ameleta Enzi ya Ufalme (Music Video)

02/09/2019

Yesu alipokuja katika ulimwengu wa mwanadamu,

Akatamatisha Enzi ya Sheria,

Alileta Enzi ya Neema.

Mungu mara nyingine akakuwa mwili katika siku za mwisho.

Akitamatisha Enzi ya Neema,

Alileta Enzi ya Ufalme.

Wote wanaokubali kupata mwili kwa Mungu kwa mara ya pili

wataongozwa katika Enzi ya Ufalme na kupokea uongozi Wake.

Baada ya mwanadamu kusamehewa dhambi zake,

Mungu alirudi mwilini kumwongoza.

Atamwongoza mwanadamu kuingia katika enzi mpya.

Ameanza kazi ya hukumu

ili kumleta mwanadamu katika ulimwengu wa juu zaidi.

Wote wanaotii utawala Wake

watavuna ukweli wa juu na baraka kuu.

Ee wataishi katika mwangaza!

Na kupata njia, ukweli, na uzima!

Yesu alifanya kazi nyingi kati ya wanadamu.

Ukombozi wa wanadamu wote ndio kazi aliyomaliza pekee.

Aligeuka sadaka ya mwanadamu ya dhambi,

lakini hakumwondolea mwanadamu

tabia yake yote potovu, upotovu wote wa mwanadamu.

Kumwokoa mwanadamu kutoka kwa Shetani kulimaanisha

Yesu alilazimika kuchukua dhambi za mwanadamu,

lakini kazi kubwa zaidi ya Mungu ilihitaji

kumwondolea mwanadamu upotovu wa Shetani.

Baada ya mwanadamu kusamehewa dhambi zake,

Mungu alirudi mwilini kumwongoza.

Atamwongoza mwanadamu kuingia katika enzi mpya.

Ameanza kazi ya hukumu

ili kumleta mwanadamu katika ulimwengu wa juu zaidi.

Wote wanaotii utawala Wake

watavuna ukweli wa juu na baraka kuu.

Ee wataishi katika mwangaza!

Na kupata njia, ukweli, na uzima!

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama Zaidi:

Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu

https://sw.kingdomsalvation.org/videos/praise-for-new-life-in-Kingdom-mv.html

Wimbo wa Kuabudu 2019 | "Mungu Anashuka na Hukumu" | Christ of the Last Days Has Appeared

https://sw.kingdomsalvation.org/videos/God-descends-with-judgment-hymn.html

Wimbo wa Kuabudu "Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu" | The Manifestation of the Power of God

https://www.youtube.com/watch?v=8cxdNlfxACU

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Leave a Reply

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp