Wimbo wa Injili | Kiini cha Kristo Ni Mungu

20/03/2020

Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,

na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.

Si kupita kiasi kusema hivyo,

kwani Ana kiini cha Mungu,

Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,

ambayo haifikiwi na mwanadamu.

Wale wanaojiita Kristo wenyewe

ilhali hawawezi kufanya kazi ya Mungu ni wadanganyifu.

Wanaojifanya kuwa Kristo hatimaye wataanguka,

ingawaje wanadai kuwa Kristo,

hawana kiini chochote cha Kristo.

Kristo sio tu udhihirisho wa Mungu duniani,

lakini mwili hasa uliochukuliwa na Mungu.

Anapotekeleza na kutimiza kazi Yake kati ya mwanadamu.

Mwili huu hauwezi kubadilishwa na mwanadamu yeyote tu.

Ila mwili unaoweza kutosha kubeba kazi ya Mungu duniani.

Na kuonyesha tabia ya Mungu,

na kumwakilisha Mungu vizuri na kumpa mwanadamu uzima.

Hivyo Mungu anasema kuwa uhalali wa Kristo,

hauwezi kufafanuliwa na mwanadamu,

lakini unajibiwa na kuamuliwa na Mungu Mwenyewe.

Hivyo kama kwa kweli unataka kutafuta njia ya uzima,

lazima kwanza utambue,

ni katika siku za mwisho ambapo Anakuja duniani,

kumpa mwanadamu njia ya uzima.

Sio zamani, sio zamani; inafanyika leo.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tazama zaidi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Shiriki

Ghairi

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp