133. Mungu Anaweka Matumaini Yake Kabisa katika Mwanadamu
I
Tangu mwanzo mpaka leo,
ni binadamu pekee ambao wamekuwa na njia
ya kuongea na Mungu, kuzungumza na Mungu.
Miongoni mwa viumbe vyote, vitu vyote vilivyo hai,
ni wanadamu tu ambao maneno yanaweza kuleta
na kuongea na Mungu, kuzungumza na Mungu.
Tangu usimamizi Wake,
Mungu amekuwa akisubiri sadaka moja tu—
moyo wa mwanadamu, ili Aweze kuutakasa na kuuandaa,
na kumfanya mwanadamu awe mwenye kuridhisha na kupendwa na Mungu,
mwanadamu mwenye kuridhisha na kupendwa na Mungu.
II
Akiwa na masikio ya kusikiliza na macho ambayo yanaona,
mawazo na lugha, ridhaa iliyo huru,
Mwanadamu anaweza kumsikia Mungu, anaweza kutembea na Mungu.
Anaweza kujua mapenzi ya Mungu, kukubali kazi Yake.
Na Mungu anamtaka mwanadamu, anamtaka mwanadamu
awe rafiki Yake mwenye mawazo kama Yake ambaye atatembea pamoja na Yeye.
Tangu usimamizi Wake,
Mungu amekuwa akisubiri sadaka moja tu—
moyo wa mwanadamu, ili Aweze kuutakasa na kuuandaa,
na kumfanya mwanadamu awe mwenye kuridhisha na kupendwa na Mungu,
mwanadamu mwenye kuridhisha na kupendwa na Mungu.
Eh Mungu angemfanya mwanadamu apendwe na Yeye, aepuke uovu na amche.
Hili jambo moja anasubiri tangu milele yote.
Tangu usimamizi Wake,
Mungu amekuwa akisubiri sadaka moja tu—
moyo wa mwanadamu, ili Aweze kuutakasa na kuuandaa,
na kumfanya mwanadamu awe mwenye kuridhisha na kupendwa na Mungu,
mwanadamu mwenye kuridhisha na kupendwa na Mungu.
kutoka katika "Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II" katika Neno Laonekana katika Mwili