Kondoo wa Mungu Huisikia Sauti ya Mungu (Mambo Muhimu ya Muumini Mpya)

Kondoo wa Mungu Huisikia Sauti ya Mungu

Mambo Muhimu ya Muumini Mpya

Kitabu hiki ni mkusanyiko wa ukweli wa maono kama vile hatua tatu za kazi ya Mungu, majina Yake, siri ya kupata mwili Kwake, na jinsi ya kutofautisha kati ya njia ya kweli na njia za uwongo. Kinaweza kusomwa na kutumiwa kujiandaa na wale ambao wameikubali kazi ya Mungu ya siku za mwisho hivi karibuni, ili waweze kuelewa ukweli wa maono wa kazi ya Mungu na kuweka misingi haraka iwezekanavyo kwenye njia ya kweli.

Vitabu vya Injili

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp