Sikiliza Sauti ya Mungu    Tazama Kuonekana kwa Mungu

Mabikira wenye busara wataitambua sauti ya Mungu na kuiona sura Yake kutoka katika matamko Yake, na wakaribishe kurudi kwa Bwana. Kitabu hiki ni mkusanyiko wa ukweli unaohusiana na kupata mwili kwa Mungu na hatua Zake tatu za kazi ya wokovu. Ukweli huu unashuhudia kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho: Mwenyezi Mungu ndiye Bwana Yesu aliyerudi, na Ameonyesha ukweli na Anafanya kazi ya “hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu” katika siku za mwisho, na hivyo kuwaongoza wanadamu kugeuka na kurudi kuelekea kiti cha enzi cha Mungu.

Vitabu vya Injili

Pakua

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp