734 Una Uwezekano wa Kumwasi Mungu Unapokuwa na Madai Kwake

1 Hakuna kilicho kigumu kushughulikia kuliko madai ya watu kwa Mungu. Ikiwa hakuna chochote afanyacho Mungu kinacholingana na mawazo yako, na ikiwa Hatendi kulingana na mawazo yako, basi wewe unaweza kupinga—ambayo inaonyesha kwamba, kwa asili, mwanadamu hupingana na Mungu. Lazima utumie ufuatiliaji wa ukweli kujua na kutatua tatizo hili. Wale wasio na ukweli hufanya madai mengi kwa Mungu, ilhali wale wanaoelewa ukweli kweli hawana madai; wanahisi tu kuwa hawajamridhisha Mungu vya kutosha, na kwamba si watiifu vya kutosha.

2 Kwamba watu daima hufanya madai kwa Mungu wanapomwamini huonyesha asili yao potovu. Usipolichukulia hili kama tatizo kubwa, usipolichukua kama jambo muhimu, basi kutakuwa na maangamizo na hatari zilizofichika katika njia yako. Unaweza kuvishinda vitu vingi, lakini majaliwa, matarajio, na hatima vinapohusika, huwezi kushinda. Wakati huo, ikiwa huna ukweli, unaweza kurudi kwenye njia zako za zamani, na hivyo utakuwa mmoja wa wale watakaongamizwa.

3 Watu wengi daima wamefuata hivi; wametenda vyema wakati ambao wamefuata, lakini hili haliamui kitakachotokea katika siku zijazo: Hii ni kwa sababu hujawahi kujua udhaifu wako, au vitu vinavyofunuliwa kutoka katika asili yako na vinavyoweza kumpinga Mungu, na kabla vikuletee msiba, unabaki bila kujua, na kwa uwezekano wowote, safari yako imalizikapo na kazi ya Mungu imekamilika, utafanya kile kimpingacho Mungu zaidi na ndiyo kufuru isikitishayo zaidi dhidi Yake.

Umetoholewa kutoka katika “Watu Wanafanya Madai Mengi Sana kwa Mungu” katika Kumbukumbu za Hotuba za Kristo

Iliyotangulia: 733 Wanadamu Wanakosa Mantiki Sana

Inayofuata: 735 Njia ya Lazima Kuogopa Mungu na Kujitenga na Maovu

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp