407 Umepata Chochote Kutoka Miaka ya Imani?

Unapaswa kujua kwa nini na kwa ajili ya nani Ninatekeleza kazi hiyo. Je, ni wema au uovu katika upendo wako? Je, kwa kweli unanijua kama vile walivyonijua Daudi na Musa? Je, kwa kweli unanihudumia kama vile alivyonihudumia Ibrahimu? Ni kweli kwamba unafanywa kamili na Mimi, lakini unapaswa kujua ni nani utakayemwakilisha na ni nani utakayekuwa na matokeo sawa na. Katika maisha yako, una mavuno ya furaha na mengi katika kupata uzoefu wa kazi Yangu? Je, ni mengi na yenye matokeo mazuri? Unapaswa kujichunguza mwenyewe. Kwa miaka umefanya kazi kwa bidii kwa ajili Yangu, lakini umewahi kupata chochote? Umebadili au kupata kitu chochote? Badala ya uzoefu wako katika shida, je, unakuwa kama Petro ambaye alisulubiwa, au kama Paulo ambaye alibwagwa na kupokea mwanga mkubwa? Unapaswa kuwa na ufahamu wa haya.

Umetoholewa kutoka katika “Asili na Utambulisho wa Mwanadamu” katika Neno Laonekana katika Mwili

Iliyotangulia: 406 Imani Yako iko Vipi Hasa?

Inayofuata: 408 Kweli Umeyatoa Maisha Yako Katika Imani Yako?

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp