55 Tuna Bahati Kukutana na Kuja kwa Mungu

1

Tuna bahati kukutana na kuja kwa mungu, twaisikia sauti Yake.

Tuna bahati kukutana na kuja kwa mungu, tunahudhuria sikukuu ya Mwanakondoo.

Tunamjua Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaona matendo Yake ya ajabu.

Tunaelewa siri ya maisha ya mwanadamu, maneno ya Mwenyezi Mungu ni ya thamani zaidi.

Tunakula na kunywa maneno ya Mungu, na tunaishi mbele Yake, tusitafute tena huku na kule.

Tunapopitia hukumu ya Mungu, ingawa tunaweza kuteseka, tunatakaswa.

Tunapata ukweli na njia ya uzima wa milele. Tukitafuta kumpenda Mungu, hatutawahi kujuta.

2

Maisha haya yamebarikiwa sana, tunakuwa watu wanaompenda Mungu.

Maisha haya yamebarikiwa sana, tunasifiwa na Mungu.

Kutimiza wajibu wetu, kushuhudia kwa Mungu, na kufuatilia ukweli kuna maana zaidi.

Nani anaweza kuwa na bahati zaidi? Nani anaweza kubarikiwa zaidi?

Mungu anatupa ukweli na uzima, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu. Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.

Iliyotangulia: 54 Matamanio ya Moyo Wangu

Inayofuata: 56 Rudi

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp