760 Upendo Safi Bila Dosari
1
Upendo ni hisia safi sana, safi bila dosari.
Tumia moyo wako, tumia moyo wako kupenda na kuhisi na kutunza.
Upendo hauweki masharti au vizuizi au baridi.
Tumia moyo wako, tumia moyo wako kupenda na kuhisi na kutunza.
Ukipenda hudanganyi, kulalamika, kugeuka,
kutaka kupata kitu badala yake.
Ukipenda unaweza kujitolea, kukubali taabu na kuungana na Mungu kwa mapatano.
2
Katika upendo hakuna shaka, hakuna ujanja, hakuna udanganyifu.
Tumia moyo wako, tumia moyo wako kupenda na kuhisi na kutunza.
Katika upendo hakuna baridi na kitu ambacho si safi.
Tumia moyo wako, tumia moyo wako kupenda na kuhisi na kutunza.
Ukipenda hudanganyi, kulalamika, kugeuka,
kutaka kupata kitu badala yake.
Ukipenda unaweza kujitolea, kukubali taabu na kuungana na Mungu kwa mapatano.
3
Unaweza kutoa familia yako, ujana wako na siku za usoni ambazo unaweza kuona,
utoe ndoa ya kwa ajili ya Mungu; unaweza kutoa kila kitu kwa ajili Yake.
Unaweza kutoa familia yako, ujana wako na siku za usoni ambazo unaweza kuona,
utoe ndoa ya kwa ajili ya Mungu; unaweza kutoa kila kitu kwa ajili Yake.
Au upendo wako si upendo kabisa, bali uongo, usaliti kwa Mungu.
Upendo ni hisia safi sana, safi bila dosari.
Tumia moyo wako, tumia moyo wako kupenda na kuhisi na kutunza.
Upendo hauweki masharti au vizuizi au baridi.
Tumia moyo wako, tumia moyo wako kupenda na kuhisi na kutunza.
Umetoholewa kutoka katika “Wengi Wanaitwa, Lakini Wachache Wanachaguliwa” katika Neno Laonekana katika Mwili