Kurejea Kutoka Ukingoni
Na Zhao Guangming, China Mwanzoni mwa miaka ya 1980, nilikuwa katika miaka yangu 30 nami nilikuwa nikifanyia kazi kampuni ya ujenzi. Nilijifikira kuw…
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Na Zhao Guangming, China Mwanzoni mwa miaka ya 1980, nilikuwa katika miaka yangu 30 nami nilikuwa nikifanyia kazi kampuni ya ujenzi. Nilijifikira kuw…
Na Guozi, Marekani Nilizaliwa katika familia ya Kikristo, na nilipokuwa na umri wa mwaka mmoja, mama yangu alikubali kazi mpya ya Bwana Yesu aliyerud…
Na Dujuan, Japani Nilizaliwa katika familia fukara katika kijiji cha mashambani. Tangu niwe mtoto, niliishi maisha magumu na nilidharauliwa na weng…
Nilianza kuishi maisha ya kanisa, na nikagundua kuwa Kanisa la Mwenyezi Mungu lilikuwa tofauti kabisa na ulimwengu. Ndugu husoma maneno ya Mungu na hufanya ushirika juu ya ukweli. Wao hutafuta kutenda kulingana na maneno ya Mungu na ukweli, kuwa waaminifu na wanyofu, na kuwa wenye mioyo safi. Nilihisi kana kwamba nilikuwa nimekuja mahali pa utakatifu, na nilihisi uhuru na uachiliwaji ambao sikuwahi kuhisi hapo awali.