199 Ninapoamka Katika Ukungu

1

Naona Neno laonekana katika mwili na Mungu ameifanya upya mbingu na nchi,

Akitamatisha milenia sita ya ugumu na kutokuwa na utulivu.

Mungu mwenye mwili huonyesha ukweli, akiletea wanadamu nuru.

Mungu kufanya kazi kumkamilisha mwanadamu ni fursa nadra sana, nina bahati sana.

Neno Lake linafichua, kuhukumu, kuadibu na kufunua tabia potovu ya mwanadamu.

Hatimaye najua kuwa binadamu wamepoteza dhamiri yao kwa sababu ya kupotoshwa na Shetani.

Wanafiki, wanaonena kwa wepesi kuhusu maadili, wakati kwa kweli walishapoteza ubinadamu kitambo.

Kula njama na kupigania umaarufu na faida, wanaishi dhambini.

2

Moyo mbaya wa mwanadamu ni mwovu sana kuuona.

Kujinajisi na kujipotosha makusudi, hajipendi kabisa.

Anaweza kupata wapi chembe yake ya mwisho ya uadilifu na heshima?

Moyo wa mwanadamu sio mwaminifu na ni mdanganyifu sana, na mwanadamu hastahili kuja mbele za Mungu.

Nikiwa mwenye moyo usumbukao, na mwenye woga na huzuni, natoa nafsi yangu yote mbele Zake.

Natanafusi kwa kuwa ni sasa tu ndipo najua jinsi ilivyo vigumu kuwa mwanadamu.

Nimepotoka sana na siwezi kuokolewa bila kupitia hukumu na utakaso.

Naamka katika ukungu, mwenye aibu sana kuutazama uso wa Mungu.

Nikitiwa nuru na hukumu, mara moja najua jinsi ya kuwa mtu.

Ukweli na uzima havikuja kwa urahisi, yote ni fadhila ya Mungu.

Kujua kupendeza kwa Mungu kumesisimua upendo wangu Kwake hata zaidi.

Acha nipitie usafishaji na nitakaswe ili niweze kumpenda Mungu na kumridhisha.

Iliyotangulia: 198 Elewa Ukweli na Uwe Huru

Inayofuata: 200 Neno la Mungu ni Nuru

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp