567 Utukufu wa Mungu Unashikilia Umuhimu Mkubwa Kabisa Kati ya Wanadamu

1 Katika tabia za watu wa kawaida hakuna uhalifu au udanganyifu, watu wana uhusiano wa kawaida kati yao, hawafanyi mambo pekee yao, na maisha yao si duni wala ya kufifia. Kwa hiyo, vilevile, Mungu huinuliwa miongoni mwa wote, maneno Yake hupenya miongoni mwa wanadamu, watu huishi katika amani kati yao na chini ya utunzaji na ulinzi wa Mungu, dunia imejaa upatanifu, bila kuingilia kwa Shetani, na utukufu wa Mungu huwa na umuhimu mkuu sana miongoni mwa wanadamu. Watu kama hao ni kama malaika: watakatifu, wa kusisimua, wasiolalamika kamwe kuhusu Mungu, na hutoa juhudi zao zote kwa utukufu wa Mungu duniani pekee.

2 “Wakati ambapo Nitapanda hadi kwa kiti cha enzi katika moyo wa mwanadamu utakuwa wakati ambapo wana na watu Wangu wataitawala dunia,” Ananena kuhusu wakati ambapo malaika walio duniani wanafurahia baraka ya huduma kwa Mungu mbinguni. Kwa kuwa mwanadamu ni onyesho la roho za malaika, Mungu asema kwamba kwa mwanadamu, kuwa duniani ni kama kuwa mbinguni, yeye kumhudumia Mungu duniani ni kama malaika kumhudumia Mungu mbinguni moja kwa moja—na hivyo, wakati wa siku zake duniani, mwanadamu hufurahia baraka za mbingu ya tatu. Hili ndilo hasa linasemwa katika maneno haya.

Umetoholewa kutoka katika “Sura ya 16” ya Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

Iliyotangulia: 566 Mungu Huwabariki Wale Walio Waaminifu

Inayofuata: 568 Unapaswa Kukubali Uchunguzi wa Mungu Katika Vyote Ufanyayo

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp