246 Mungu Anawataka Watu Zaidi Wapate Wokovu Wake

1 Sote tunachukua mtazamo wa ngoja tuone, tukitumai kwamba watu zaidi watapata nuru baada ya kuona matukio haya ya watu kuadhibiwa, tukitumai kwamba watu zaidi watakuwa na uwezo wa kulichunguza kwa makini wanapokabiliwa na matamko ya Mungu na kazi Yake, na kulichukulia ujumbe huu muhimu kwa moyo na uchaji Mungu. Usikanyage nyayo za wale wanaoadhibiwa na, hata zaidi kuliko hili, usiwe kama Paulo—ambaye kwa dhahiri alijua njia sahihi lakini ambaye aliiasi kwa makusudi—na kupoteza sadaka ya dhambi. Mungu hataki watu zaidi kuadhibiwa, lakini badala yake Anatumai kuwa watu zaidi wataokolewa, na kuwa watu zaidi wawe kasi sawa na nyayo Zake na kuingia katika ufalme Wake.

2 Mungu huwatendea watu wote kwa haki; bila kujali umri wako, jinsi ulivyo mkubwa au hata kiwango cha mateso umepitia, tabia ya Mungu ya haki daima haibadiliki ikiwa imekabiliwa na vitu hivi. Mungu hamtendei mtu yeyote kwa heshima kubwa, wala Hampendelei mtu yeyote. Mwelekeo Wake kwa watu unategemezwa kwa iwapo wanaweza kuukubali ukweli na kukubali kazi Yake mpya kwa kuacha vitu vyote au la. Iwapo unaweza kupokea kazi Yake mpya na kupokea ukweli Anaoonyesha, basi utaweza kupata wokovu wa Mungu.

Umetoholewa kutoka katika Hitimisho wa Mifano Maarufu ya Adhabu kwa Kumpinga Mwenyezi Mungu

Iliyotangulia: 245 Mungu Atumai Watu Wasigeuke Mafarisayo

Inayofuata: 247 Itafute Njia ya Upatanifu na Kristo

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp