57 Umo Moyoni Mwangu

1

Ninapoeneza injili mbali na nyumbani,

nawaza kukuhusu, na ninakuomba.

Kupitia kusoma maneno Yako,

nimekuja kukuamini zaidi na moyo wangu unapozwa, oo.

Kukushuhudia Wewe, ninapitia machungu mengi,

na najua hata vizuri zaidi jinsi Unavyopendeza.

Kukufuata, nitatembea milele hadi mwisho.

Unapobadilisha umbo Lako,

tutakaribisha kurudi Kwako, ee,

tutakaribisha kurudi Kwako.

2

Ni maneno Yako yanayonisitawisha

na kunipa maisha ya binadamu.

Ninapofikiria kuhusu upendo Wako, moyo wangu unafurahia,

na mwili wangu wote unajazwa na nguvu, na nguvu.

Ninaacha kila kitu na kugharimika kwa ajili Yako.

Ni wewe Unayeniinua.

Kukufuata, nitatembea milele hadi mwisho.

Unapobadilisha umbo Lako,

tutakaribisha kurudi Kwako, ee,

tutakaribisha kurudi Kwako, eh.

Eh, kukufuata, nitatembea milele hadi mwisho.

Unapobadilisha umbo Lako,

tutakaribisha kurudi Kwako, ee,

tutakaribisha kurudi Kwako.

3

Matatizo na daima kuwa mbioni

havinisababishii maumivu, kwa kuwa Uko pamoja nami.

Ingawa siwezi kuona uso Wako,

moyo wangu bado unakupenda, na Wewe uko moyoni mwangu.

Upendo Wako tayari umeweka mizizi moyoni mwangu

nami nitakuwa mwaminifu Kwako milele.

Kukufuata, nitatembea milele hadi mwisho.

Unapobadilisha umbo Lako,

tutakaribisha kurudi Kwako, ee,

tutakaribisha kurudi Kwak,

tutakaribisha kurudi Kwak,

tutakaribisha kurudi Kwak.

Iliyotangulia: 56 Rudi

Inayofuata: 58 Kuenda Nyumbani

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp