Kwa nini Mungu Huchukua Jina la Mwenyezi Mungu Katika Enzi ya Ufalme?
Watu wengi hawaelewi ni kwa nini, kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa Bwana Yesu katika siku za mwisho, Bwana Yesu anaitwa Mwenyezi Mungu...
10/11/2017Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Watu wengi hawaelewi ni kwa nini, kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa Bwana Yesu katika siku za mwisho, Bwana Yesu anaitwa Mwenyezi Mungu...
10/11/2017Kama makanisa ya Ukristo, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilikuja kuwepo kwa sababu ya kazi ya Mungu kupata mwili. Makanisa ya Ukristo yalipata...
10/11/2017Wanadamu walipopotoshwa na Shetani, Mungu alianza mpango Wake wa usimamizi kwa ajili ya wokovu wa wanadamu. Mungu ametekeleza hatua tatu za...
10/11/2017Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu huamini katika Mungu huyo huyo. Watu wanaoelewa historia ya dini wanajua kwamba Uyahudi wa Israeli...
10/11/2017Kanisa la Mwenyezi Mungu hunyunyizia na kuwaongoza waumini wake kwa mujibu kamili wa maneno ya Mungu katika Biblia na Neno Laonekana Katika...
10/11/2017(1) Mafundisho ya Kanisa la Mwenyezi Mungu Mafundisho ya Ukristo yanatoka kwa Biblia, na mafundisho ya Kanisa la Mwenyezi Mungu yanatoka...
10/11/2017Dini mbili kubwa zaidi duniani—Ukristo na Ukatoliki—zote zinamwamini Bwana Yesu na zinakiri kwamba Yeye alikuwa Mungu aliyepata mwili....
19/07/2020Mbona, ingawa umekabiliwa na upinzani na mateso yenye hasira kutoka sehemu mbili za nguvu za Shetani—serikali ya CCP na dunia ya dini—Umeme wa Mashariki haujakosa kuvunjwa au kuchoshwa tu, lakini kinyume chake umeendelea kusitawi na kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kama chipukizi kukua baada ya mvua, na umeendelea mbele bila kuzuilika na kukatalika?
17/01/2021Kile ambacho madhehebu mbalimbali kinaita Umeme wa Mashariki ni Mwokozi Yesu aliyerudi wa siku za mwisho, akishuka kutoka mbinguni juu ya “wingu jeupe”; ni Mungu mwenye vitendo Mwenyewe, ambaye alirejea kwa mwili! Kwa sababu hii, licha ya ukweli kwamba kila dhehebu ulimwenguni humpinga, kumshambulia, au kumshutumu Mungu mwenye mwili wa siku za mwisho au kazi Yake, hakuna mtu yeyote wala nguvu yoyote ambayo inaweza kuzuia au kukomesha kamwe kile Anachotaka kufanikisha. Mamlaka ya Mungu, nguvu, na uweza Wake na hekima haviwezi kushindwa kwa nguvu yoyote ya Shetani.
17/01/2021Kutokana na maneno ya Mwenyezi Mungu tunaona kuwa kazi ya Mungu na neno la siku za mwisho ni umeme ambao huangaza kutoka Mashariki. “Umeme” ni mwanga mkubwa, kumaanisha neno la Mungu, njia ya Mungu ya hukumu na kuadibu katika siku za mwisho. Kifungu “unavyotokea mashariki” kinamaanisha hutoka China, na “kumulika pia magharibi” kikimaanisha kuwasili katika nchi za Magharibi. Mwisho, “ujio wa Mwana wa Adamu utakawa hivyo pia” kinahusu Mungu kupata mwili na kwanza akijifichua Mwenyewe na kuanza kazi Yake nchini China katika Mashariki. Huko Analifanya kundi la watu ambao kwa kweli wanamjua Mungu, na wao ni washindi kama ilivyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo. Kisha kupitia watu hawa, injili ya siku za mwisho itaenea Magharibi, ili kila mmoja atapokea wokovu wa Mungu wa siku ya mwisho. Hili limefanikishwa sasa na ni ukweli ambao unaweza kuonekana na kila mtu!
17/01/2021