Sababu ya Kanisa la Mwenyezi Mungu Kusemekana Linamwamini Mungu Mwenye Mwili
Dini mbili kubwa zaidi duniani—Ukristo na Ukatoliki—zote zinamwamini Bwana Yesu na zinakiri kwamba Yeye alikuwa Mungu aliyepata mwili....
Tunawakaribisha watafutaji wote wanaotamani sana kuonekana kwa Mungu!
Kanisa la Mwenyezi Mungu hunyunyizia na kuwaongoza waumini wake kwa mujibu kamili wa maneno ya Mungu katika Biblia na Neno Laonekana Katika Mwili yanayoonyeshwa na Mwenyezi Mungu, ili kwamba kila muumini anaweza, chini ya uongozi, utolewaji, unyunyiziwaji, na uongozwaji wa maneno ya Mwenyezi Mungu, kuelewa ukweli wote katika maneno ya Mungu, kumiliki mtazamo sahihi juu ya maisha na maadili, kuwa na malengo sahihi ya kufuatilia, kufuata njia ya Mungu, kushikilia maagizo ya Mungu, kumtukuza Mungu kwa kuwa nuru na chumvi ya dunia, na kusifiwa na Mungu, na kuwa na sifa kamili kurithi ahadi za Mungu.
Kanisa hulenga kuanzisha kanisa ambalo linapendeza moyo wa Mungu, ili kwamba waumini wanaweza kuhudumu na kuruzuku wenyewe kwa wenyewe katika maneno ya Mungu na upendo wa Mungu, wanaweza kutii na kumwabudu Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, na wanaweza kuwa ushuhuda wa kweli kwa Mungu na onyesho la utukufu wa Mungu.
Kanisa linalenga kueneza na kushuhudia kwa injili ya ufalme wa Mwenyezi Mungu, likiwaruhusu watu kuona kwamba Mwenyezi Mungu ndiye Bwana Yesu aliyerudi wa siku za mwisho, na kwamba Yeye ameanza kazi ya “lazima hukumu ianze katika nyumba ya Mungu” (1 Petro 4:17) iliyotabiriwa katika Biblia, ambayo kabisa ni kazi ya Mungu ya kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kikamilifu katika siku za mwisho. Ni kwa kukubali tu ukweli wote unaoonyeshwa na Mwenyezi Mungu ambapo mtu anaweza kujiondolea tabia yake ya kishetani, kujikomboa kutoka kwa utumwa wa dhambi, kutakaswa, kuja kumjua Mungu, kumtii Mungu, na kumwabudu Mungu, kuishi kwa kudhihirisha maisha yenye maana, na kuokoka majanga makubwa ya siku za mwisho na kuingia katika ufalme wa Mungu–hii tu ndiyo hatima nzuri ya wanadamu. Kueneza na kushuhudia kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, na hivyo kuleta mbele ya Mungu wale ambao hukiri kwamba kuna Mungu na wanapenda ukweli ili wapate kukubali na kupata wokovu wa Mungu wa siku za mwisho–hili ni agizo la Mungu kwa wateule Wake, na malengo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu.
Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?
Dini mbili kubwa zaidi duniani—Ukristo na Ukatoliki—zote zinamwamini Bwana Yesu na zinakiri kwamba Yeye alikuwa Mungu aliyepata mwili....
Kutokana na maneno ya Mwenyezi Mungu tunaona kuwa kazi ya Mungu na neno la siku za mwisho ni umeme ambao huangaza kutoka Mashariki. “Umeme” ni mwanga mkubwa, kumaanisha neno la Mungu, njia ya Mungu ya hukumu na kuadibu katika siku za mwisho. Kifungu “unavyotokea mashariki” kinamaanisha hutoka China, na “kumulika pia magharibi” kikimaanisha kuwasili katika nchi za Magharibi. Mwisho, “ujio wa Mwana wa Adamu utakawa hivyo pia” kinahusu Mungu kupata mwili na kwanza akijifichua Mwenyewe na kuanza kazi Yake nchini China katika Mashariki. Huko Analifanya kundi la watu ambao kwa kweli wanamjua Mungu, na wao ni washindi kama ilivyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo. Kisha kupitia watu hawa, injili ya siku za mwisho itaenea Magharibi, ili kila mmoja atapokea wokovu wa Mungu wa siku ya mwisho. Hili limefanikishwa sasa na ni ukweli ambao unaweza kuonekana na kila mtu!
Watu wengi hawaelewi ni kwa nini, kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa Bwana Yesu katika siku za mwisho, Bwana Yesu anaitwa Mwenyezi Mungu...
Kama makanisa ya Ukristo, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilikuja kuwepo kwa sababu ya kazi ya Mungu kupata mwili. Makanisa ya Ukristo yalipata...