42 Sifu Kukamilika kwa Kazi Kuu ya Mungu

1

Katika siku za mwisho, neno la Kristo linawahukumu wanadamu wote;

Enzi ya Ufalme imeanza.

Vitu vyote sasa vimefanywa upya

kwa maneno ambayo Mungu ananena.

Vitu vyote vimefanywa kuwa vizuri na vipya;

kila kitu kimefufuliwa sasa, kimerejeshwa na kufanywa upya.

Tunamsifu Mungu tunapofurahia.

Mbingu zinafura kwa nyimbo zetu na sauti yetu.

Ah, msifuni! Ah, pigeni kelele na muimbe! Ah!

Watu wote wa Mungu wamejaa sifa kwa Mungu. Ah!

2

Hukumu imeanza katika nyumba ya Mungu,

ikifichua haki Yake.

Watu wa Mungu wanainama mbele Yake,

wakitakaswa na hukumu Yake.

Ah, tukiongozwa na maneno Yake, tunaweza kupitia majaribu.

Na tunapata kibali Chake tunapokuwa na ushuhuda Kwake.

Tukiheshimiwa na agizo la Mungu,

tunatangaza na kushuhudia matendo Yake.

Ah, msifuni! Ah, pigeni kelele na muimbe! Ah!

Watu wote wa Mungu wamejaa sifa kwa Mungu. Ah!

3

Kazi ya Mungu inabadilika haraka,

ni ngumu kufahamu na tunashawishika.

Maneno ya Mungu yanatimiza kila kitu,

yanawaainisha watu kwa aina.

Wale wanaompenda Mungu wanamtii, lakini wale wanaompinga wanaangamizwa.

Hekima na uweza Wake tunasifu,

Yeye ni mwenye haki kwa kila njia.

Tabia Yake ni nzuri sana, tunaisifu.

Ah, msifuni! Ah, pigeni kelele na muimbe! Ah!

Watu wote wa Mungu wamejaa sifa kwa Mungu. Ah!

4

Sifu kukamilika kwa kazi ya Mungu,

Amefanyiza kikundi cha washindi.

Wateule wa Mungu wanakubali kutazama Kwake,

kila mmoja anatekeleza wajibu wake.

Wanajaribu kila wawezalo kutimiza mapenzi ya Mungu;

wale wote wampendao wanakamilishwa.

Ulimwengu mzima unajaa

haki na utakatifu Wake.

Ufalme Wake ni mtakatifu kweli.

Nyimbo zetu za sifa hazitaisha kamwe!

Ah, msifuni! Ah, pigeni kelele na muimbe! Ah!

Watu wote wa Mungu wamejaa sifa kwa Mungu. Ah!

eeh, hazitaisha kamwe!

Iliyotangulia: 41 Sifa kwa Mwenyezi Mungu Haitakoma Kamwe

Inayofuata: 43 Sifunini Kurejea kwa Mungu Sayuni

Ulimwengu umezongwa na maangamizi katika siku za mwisho. Je, hili linatupa onyo lipi? Na tunawezaje kulindwa na Mungu katikati ya majanga?

Maudhui Yanayohusiana

418 Umuhumi wa Maombi

Sala ni mojawapo ya njia ambazo mwanadamu hutumia kushirikiana na Mungu, ni njia ambayo mwanadamu hutumia kumwita Mungu, na ni mchakato...

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Wasiliana nasi kupitia WhatsApp