Chukua fursa unapokuwa na wakati, keti kimya mbele ya Mungu.Soma neno Lake, jua ukweli Wake, rekebisha makosa yaliyo ndani yako.Majaribu huja, yakabili; ijue nia ya Mungu na utakuwa na nguvu.Mwambie ni vitu gani unavyoko…
Watu wa Mungu wanainuliwa mbele ya kiti Chake cha Enzi, maombi mengi mioyoni mwao.Mungu huwabariki wote wanaorejea Kwake; wote wanaishi katika mwanga.Omba Roho Mtakatifu alipe nuru neno la Mungu ili kwamba tujue kikamili…